Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole Sana , hope everything will be okay ... Nimetoka church tumepewa neno zuri sana. ..

nalo ni kuwa uvumilivu , tukiona Mambo hayaendi tusikate tamaa , tumuamini Mungu kuwa ni mwaminifu hatotuacha .
Mashallah hakika Mungu kanipa nilichomuomba! Raha sana kuwa na mtu wa kukufariji ya rabbi anipe utulivu wa moyo!
 
😂😂😂Kiufupi sijawahi penda kuona watu wanainjoi na wapenzi wao... SIPENDI SIPENDI GENERALLY an unainjoi vipi kwa mfano😂📌
Mapenzi ni kuvumiliana, kuaminiana, kupendana bila choyo yoyote, kuheshimiana, kuliwazana na surprises za kutosha. Sasa vyote navipata iweje nikinai penzi la Tinsley kwake nimefika na mizigo nimetua sing'oki kama kisiki cha mpingo.
 
Mapenzi ni kuvumiliana, kuaminiana, kupendana bila choyo yoyote, kuheshimiana, kuliwazana na surprises za kutosha. Sasa vyote navipata iweje nikinai penzi la Tinsley kwake nimefika na mizigo nimetua sing'oki kama kisiki cha mpingo.
Umejimalizaa sanaaaaaaa yaan saaanaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ngoja kitumbua tuweke mchanga 🤕🤕🤕🤕🤕🤕🤕🤕
 
Back
Top Bottom