Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,425
- 54,880
Duuh netnaija hiyoNikatoe 15k mlimani city kwani mm mwanamke?View attachment 2419542
Duuh netnaija hiyoNikatoe 15k mlimani city kwani mm mwanamke?View attachment 2419542
Nenda Movie wewee 🤣🤣🤣Nikatoe 15k mlimani city kwani mm mwanamke?View attachment 2419542
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Imeisha hyoDuuh netnaija hiyo
😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Mi saizi ya Kati banaaaa mbona nabebeka vizuree tyu mbonaa,🤣🤣🤣😂😂😂!!
Nikatoe 15k mlimani city kwani mm mwanamke?View attachment 2419542


Screen kubwa na sound effects za maana ila mle viti vinanuka uvundo balaa, ukiwasha taa uangalie vileviti ile rangi yake Nyekundu imebadilika na kuwa nyeusi sijui majasho ya watu yale 
Ugali mdogo sana jamani sa tutashibaje 🤭
🤣🤣🤣Screen kubwa na sound effects za maana ila mle viti vinanuka uvundo balaa, ukiwasha taa uangalie vileviti ile rangi yake Nyekundu imebadilika na kuwa nyeusi sijui majasho ya watu yale
![]()
Ila wote tumeona na tumesikia hakuna utofautiScreen kubwa na sound effects za maana
![]()
Ukizidi kg 70 we bonge na marufuku kudeka😂😂😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Mi saizi ya Kati banaaaa mbona nabebeka vizuree tyu mbonaa,🤣🤣🤣😂😂😂!!
Umenikumbusha SYB alisemaga mabonge yakideka yakasusa yanajitupa chini pwaahh🤣🤣🤣🤣
Jua? Hapa kuna manyunyu hatari
Hapanaaa 😂🤣🤣🤣🤣🤣!Ukizidi kg 70 we bonge na marufuku kudeka😂😂
Huku ishanyeshaa hadi keroooJua? Hapa kuna manyunyu hatari