Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Yolly ndo akuiteNiite mm basi![]()
mme wa mtu wewe
Yolly ndo akuiteNiite mm basi![]()
Kweli maji yalivyo adimu nanunua dumu 1000 nyie mnachezea maji sijapenda nafarikiEnjoy your evening guys!!
Study tour!!![]()


Kama una vocha nitumie tuNa mm nije pm![]()
Hamia hukoKweli maji yalivyo adimu nanunua dumu 1000 nyie mnachezea maji sijapenda nafariki![]()
Ronaldo anakuja simba JanuaryCarrasco putin
Cristiano Ronaldo on Man Utd: "Nothing changed since I left. The pool, the jacuzzi, even the gym, even some technology. Even the chefs who I appreciate, lovely people".#MUFC
"I thought I would see new technology, infrastructure. I saw things I saw when I was 20!".





Kama nakuja kukuomba vocha jeKama una vocha nitumie tu
PM ipo wazi inapigwa tu upepo.




Nakutolea wapi sasa😂😂😂Kama nakuja kukuomba vocha je![]()
Wow💫
Unapotea sana dada yangu 🙂🙂🙂Wow💫
Ashley music-Sasa hivi





Nipo kaka yanguUnapotea sana dada yangu 🙂🙂🙂
Kuna nini mbaya huko 🥲
Coca amenicheat bhanaSi umekua shem kwa coca jamani!! Dogo atakucheleweshaaa anazingua kinonaa

mkataba wake mwakani ndio 😂😂Ronaldo anakuja simba January![]()
Familia nzima kabisa tunakusalimia sana wanasema unakuja lini kututembeleaNipo kaka yangu
Hakuna hata ubaya ni majukumu tuu yanafanya napotea potea muda wakuwa online unakuwa mdogo
Familia haijambo lakini?
Jamani waambie nitakujaaFamilia nzima kabisa tunakusalimia sana wanasema unakuja lini kututembelea
😂😂😂😂Nimecheka Sana ujue.Late night Meal..
I planned not to eat until nilipopata ufunuo hakuna baunsa kwenye njaa..
I felt like i have to do something for my wellbeing as soon as possible..
View attachment 2416858