Ukitoka outing na mwamba wako make sure unachangia japo kidogo dear..
Akigoma usichangie bill basi toa cash mlipe waiter.
Kuwa mwanamke lakin pia kuwa classy..jitengeneze mwanaume akuheshimu.kuwa miss independent hata Kwa kidogo ulichojaliwa.
Mada ni ndefu hii jamani..ngoja kwanza ninywe soda hapa
🤪🤪Wafundishe hao wenzako kutumia akili zao vizuri, wafundishe.. kwenye hili kundi unaonekana upo matured unaweza tunza hata ndoa na mume.. ila hao wasela wengine mmmh🤭🤭🤭
muende makwao kwanza kabla ya kuwala aisee .Mwanamke sio ua mwanamke ni binaadamu mwenye utamu wa mbele na nyuma! Hivyo kuwapa pesa tutawapa ila nasisi mtupe huo utamu sasa. Sio mnataka kula tu alafu kuliwa hamtaki.
There is no free lunch ausiooo!! Tuishi humohumoo tyu..in coca's voice!!Mtu unashangaa, unajiuliza kabla ya kujuana shida na matatizo yake alikuwa anayatatua vipi .. watu wataendelea kupigwa miti aisee.
🤣🤣🤣🤣 hela yenyewe aftatu ila mnataka utamu full, ah sio hakiMwanamke sio ua mwanamke ni binaadamu mwenye utamu wa mbele na nyuma! Hivyo kuwapa pesa tutawapa ila nasisi mtupe huo utamu sasa. Sio mnataka kula tu alafu kuliwa hamtaki.
Antonnia hataki hata kuniona PM, na kujaribu kote waaapi nimefail.. na kumulezea hisia zangu zote na mapendo yangu kwake.. nabaki nasikitika na kuumilia moyoni 🥲🥲National Anthem amemzoea Antonnia ila mpaka leo hajafunguliwa pm. Anabaki kusema ooh sisi marafiki, wapi umeona urafiki wa simba na swala.
cocastic my love unaitwa hukuWote humu selfika tunajua alikuwa anakutongoza ukampiga chini kaenda kwa lenie kapigwa chini kaenda kwa alayna kapigwa chini kaenda kwa sophy27 nako manyoya. Nikasikia alimbahatisha coca ndiko alikofilisikia. 😂 Mnadhambi ninyi 😂
Kwamba mie ndo nlimchuna Mjep? Hebu Mr vocha ukuje ujibu tuhuma hizi,Wote humu selfika tunajua alikuwa anakutongoza ukampiga chini kaenda kwa lenie kapigwa chini kaenda kwa alayna kapigwa chini kaenda kwa sophy27 nako manyoya. Nikasikia alimbahatisha coca ndiko alikofilisikia.Mnadhambi ninyi
Wanaume tukifurahishwa wala huna haja ya kuomba hela, utashangaaa mimala tu kila kukichaThere is no free lunch ausiooo!! Tuishi humohumoo tyu..in coca's voice!!
Kuombaaa n must.
hapana chezea
kuomba haikuepukiki ..
Mtu umechepuka uende kwao ili ugundue nini 😁😁😁🤣🤣🤣!! Utani huooo😁😁🤣🤣😄😄😄😄muende makwao kwanza kabla ya kuwala aisee .
mfahamike hata ,sio muwache dilema
Una matumizi mazuri ya akili zako. Mungu akujalie zaidi🤪🤪
Naweza tunza mume,watoto,ndoa na ndugu wa pande zote mbili😁😁
Huwa nasema hayanaga formula, cheza side yako.Kuna watu waligeuka hadi mahouse girl na mwisho wa siku wakala mzinga akaja kuwekwa ndani slay queen fulani
Usiishi kwa ajili ya watu my lovedear nacheka sanaaa, watu walifanya yote hayooo lakini mwsho wa picha? Director anasema hiii.
Sema kuna neno moja alikuambia ndio nimeyaelewa maneno ya Lenie nadhani kama sio jana basi ni juzi alikwambia yeye ni mtu mzima na sio mtoto hatongozwi hivyo! Kwahyo mi nkajua ndugu yangu National Anthem ungejiongeza ila ukala kona 😂😂Antonnia hataki hata kuniona PM, na kujaribu kote waaapi nimefail.. na kumulezea hisia zangu zote na mapendo yangu kwake.. nabaki nasikitika na kuumilia moyoni 🥲🥲
Waelezeeee waelezeeee.Ila sasa mkija pm porojo zisiwe nyingi
Kabla ya kuomba no muulize mtandao gani anatumia then utume vocha hata ya buku 5
Akisha kupa no hakikisha ukituma muamala usiasahau kutuma na ya kutolea
Lol umenikumbushaaaaa.... kuna kipindi nilikua natumiwa surprisess mara kale lunch mara kanunue hiki kileee Alooooooohh imebaki history ussshhhhuuuuunggguu 🤣🤣🤣😁😁😁😁!!Wanaume tukifurahishwa wala huna haja ya kuomba hela, utashangaaa mimala tu kila kukicha
Amen…Una matumizi mazuri ya akili zako. Mungu akujalie zaidi
Nyieeeeee 🤣🤣🤣Huwa nasema hayanaga formula, cheza side yako.
Haswaaaah dear,Hapo nimekupata kipenzi
unapanga mambo yako mapema tu
no mizinguo