Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha mnakubaliana mapema wenyewe .
asipokupa Sasa , unafanyaje ?

mie mshamba siwezi sana kuomba hela
Nakushauri usiombe hela kama mtu unajua Uko na malengo nae na yeye kama anamalengo na wewe.

Lakini asilimia kubwa sana mwanamke ndie umtengeneza mwanaume akawa na malengo nae.

Kila mtu anamuwinda mwenzie 🀣🀣mbwa kala mbwa

Mada ni ndefu sana hii
 
Mi binafsi mwanamke omba omba hapana na huo ndio kweli. Mwanamke unakuwa kama lile dubu la kamari. Alafu ukija huku kwenye kikao chenu mnajidai sisi hatupendi pesa tunapenda heshima. Kikao chemu kikiisha tayari unampiga mtu kizinga cha vocha.!!!
Umeamua kutusema sioo
🀣🀣🀣😁😁😁😁😁😁!! Kwanza una buku hapoo??? 🀣🀣😁😁
 
Mi binafsi mwanamke omba omba hapana na huo ndio kweli. Mwanamke unakuwa kama lile dubu la kamari. Alafu ukija huku kwenye kikao chenu mnajidai sisi hatupendi pesa tunapenda heshima. Kikao chemu kikiisha tayari unampiga mtu kizinga cha vocha.
Hawa ni kama wehu, ndio maana tuliambiwa tuishi nao kwa akili maana wao hawana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…..
 
Ebu vipe darasa hivi vitoto, πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Thank you dear kwa ushauri , nikidate tena nitazingatia hilo .

sema inatokea umepata shida ndo usimuombe baby wako , akusaidie utatue shida hiyo .

okay hapo kwenye kumtengenezea mazingira ndo unakuwa supportive girlfriend and more .
 
Hapana banaa! Labda useme shida ni woteeeee ..haya mambo si ya kukaa na kuzungumza jamani I don't like like that.... Umemwambia mtu hasikii si ndio pa kwenda kutafuta Peace of mind unakojua mwenyewe!!πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰ Love is a two way traffic nisikilize nikusikilizee Even if you are the provider!!
 
Sio dunia ya sasa wewe binafsi Lenie unapenda pesa balaa kuna siku nilikusifia ukanipiga mzinga wa vocha πŸ™ŒπŸ˜‚ angalieni mlivyomfilisi Mjep mpaka hajulikani alipo πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣
Aki hata sikua siriaz, nilikua tu nakutania nione kama utatoa

Bana wee sisi tunapenda hela na nyie mnapenda mbususu so ngoma drooo
 
Mtabeba misalaba mizito sana, tatizo ni feminism.. wenzenu walio watii na wenyenyekevu sasa hivi wana bebika tu na kutunzwa kama vitoto vichanga πŸ˜…πŸ˜… miaka inaenda jamani jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…