Hayo mambo sio yangu kabisaUzuri wanawake hamtupi taabu. Maana baada ya wiki tu utaanza kusikia nilijua mtu kumbe kunguni mara riziki hamuwezi kuiziba ila mtaichelewesha. ππ Mara paap wanawake hatupendani π hapo kwa sisi malegend tunajua mtu kashaibiwa bwana ππ
Kufilisika kupo japo hakuna mtu anapenda hivyo! Na wanawake wengi hapo ndio uhalisia wao huonekana.Mwanaume unafilisika vipi?
Kataa hiyo roho kabisa π€£π€£π€£π€£
Sasa akamuombe nani jamani na wewe ndio my darling wake nyonga mkalia ini Le king himselfπ₯°Mwanamke anaweza kuwa analipwa milioni 1 kazini na mumewe kazini milioni 1. Ila majukumu yote ataachiwa mwanaume, ye mwanamke hela zake ni kusuka , vicoba, ahadi kwenye sherehe, kushonesha vijota n.k na bado atakuja akuombe hela ya rejesha π π
Ndio hivyo hakuna namna..Mwanamke anaweza kuwa analipwa milioni 1 kazini na mumewe kazini milioni 1. Ila majukumu yote ataachiwa mwanaume, ye mwanamke hela zake ni kusuka , vicoba, ahadi kwenye sherehe, kushonesha vijota n.k na bado atakuja akuombe hela ya rejesha π π
Haya matoto ya kike ya sikuhizi ni kama mehu. Kubahatika kupata mwanamke mwenye utii na akili nzuri Mungu akujalie, ile mengi ni kama mehu mehuπ€£π€£Kufilisika kupo japo hakuna mtu anapenda hivyo! Na wanawake wengi hapo ndio uhalisia wao huonekana.
π€£π€£π€£π€£π€£π kweli kabisa wabaya ni sisi mjomba Ndiomana mnatuacha kwenye mataa tunaseketesha sanaaπ€£π€£π€£ππMtaishia kulalamika tu na kuona Me ni wabaya kumbe wabaya wa kwanza ni nyie wenyewe
Nlikuaga lijinga zaman, nlkua nawaza, nkiomba pesa atahisi nimependa pesa zake, au ataniona cheap tyuuh, au atajua kuwa tamaa ndo zimeniweka huku, Nlivokuja kujua uhalisia,Eti jamani
Bora tu umpendee pesa zake, hata akizingua atleast umeonja onja visenti inapoza machungu somehow
Amen ..Mungu awatie nguvu.
Mi binafsi mwanamke omba omba hapana na huo ndio kweli. Mwanamke unakuwa kama lile dubu la kamari. Alafu ukija huku kwenye kikao chenu mnajidai sisi hatupendi pesa tunapenda heshima. Kikao chemu kikiisha tayari unampiga mtu kizinga cha vocha.Sasa akamuombe nani jamani na wewe ndio my darling wake nyonga mkalia ini Le king himselfπ₯°
Bora yako umeliona, mwanamke ukiwa na utii huto ona mwanaume anakukimbia, acheni bange zenu.. wanaume wanawapenda sana na kuwa value sana.. shida nyie wenyeweπ€£π€£π€£π€£π€£π kweli kabisa wabaya ni sisi mjomba Ndiomana mnatuacha kwenye mataa tunaseketesha sanaaπ€£π€£π€£ππ
Unatakiwa umpe invoice kila mwanzo wa mwezi ili azoee majukumuNlikuaga lijinga zaman, nlkua nawaza, nkiomba pesa atahisi nimependa pesa zake, au ataniona cheap tyuuh, au atajua kuwa tamaa ndo zimeniweka huku, Nlivokuja kujua uhalisia,
nakamua kweli kweli, tena huwa naweka wazi kabisaaa bhana wee mie pesa ntakua nataka unipe kila nkihitaji, km huwezi tusisumbuane, dunia ina watu wengi hii wee chagua wa kuendana name afu ishi nae.
Mie siku zote ukweli na uwazi nauweka mapemaaaaa, sitaki longo longo.
Hahaha mnakubaliana mapema wenyewe .Nlikuaga lijinga zaman, nlkua nawaza, nkiomba pesa atahisi nimependa pesa zake, au ataniona cheap tyuuh, au atajua kuwa tamaa ndo zimeniweka huku, Nlivokuja kujua uhalisia,
nakamua kweli kweli, tena huwa naweka wazi kabisaaa bhana wee mie pesa ntakua nataka unipe kila nkihitaji, km huwezi tusisumbuane, dunia ina watu wengi hii wee chagua wa kuendana name afu ishi nae.
Mie siku zote ukweli na uwazi nauweka mapemaaaaa, sitaki longo longo.
Unamtii anaekutii nakukusikiliza pia mjomba hata kama ni mwanaume nawe uwe unamsikiliza mwenzio buanaaa!Bora yako umeliona, mwanamke ukiwa na utii huto ona mwanaume anakukimbia, acheni bange zenu.. wanaume wanawapenda sana na kuwa value sana.. shida nyie wenyewe
π€£ π€£ π€£ π€£Mi binafsi mwanamke omba omba hapana na huo ndio kweli. Mwanamke unakuwa kama lile dubu la kamari. Alafu ukija huku kwenye kikao chenu mnajidai sisi hatupendi pesa tunapenda heshima. Kikao chemu kikiisha tayari unampiga mtu kizinga cha vocha.
π Ukisikia vita vya Dunia mnyime mkeo pesa π nakwambia utasingiziwa kila aina ya dhambi dunia hii.Ndio hivyo hakuna namna..
Kama Unaona hela Yake ni ngumu kutokaβ¦wewe tunza familia Ila chochote kinachomhusu yeye kiwe juu Yake isipokuwa kuumwa tu
Mwanaume ni kichwa, anaepaswa kuanza kutii ni mwanamke then mwanaume anafata kile ambacho ana muongoza mwanamke.. shida haya mambo ya feminism yana waharibu .. hakuna mwanaune ambae anataka kukaa na mwanamke asie mtii hayupo.. nyie mtaendelea kupiga kelele wanaume ABC ila shida ni nyieUnamtii anaekutii nakukusikiliza pia mjomba hata kama ni mwanaume nawe uwe unamsikiliza mwenzio buanaaa!!
3P's of a manMi binafsi mwanamke omba omba hapana na huo ndio kweli. Mwanamke unakuwa kama lile dubu la kamari. Alafu ukija huku kwenye kikao chenu mnajidai sisi hatupendi pesa tunapenda heshima. Kikao chemu kikiisha tayari unampiga mtu kizinga cha vocha.
Ndio upepo mnao jazana huu π₯π₯ inasikitisha sanaUnatakiwa umpe invoice kila mwanzo wa mwezi ili azoee majukumu
Unamnyimaje mkeo hela jamani, na huyo ni ubavu wako wa kufa na kuzikana.π Ukisikia vita vya Dunia mnyime mkeo pesa π nakwambia utasingiziwa kila aina ya dhambi dunia hii.
Sio dunia ya sasa wewe binafsi Lenie unapenda pesa balaa kuna siku nilikusifia ukanipiga mzinga wa vocha ππ angalieni mlivyomfilisi Mjep mpaka hajulikani alipo ππ€£ π€£ π€£ π€£
Hamna mwanamke anapenda pesa, hata hapa selfika sidhani kama kuna ombaomba
Wanawake hatupendi pesa kabisa sema tu kuna kundi la watu huko lina chuki na wanawake ndio linatusambazia uzushi.