Selfika na JF: Snap it. Show it

Tunayatoa ya moyoni na si vinginevyo
kuongea inasaidia kupunguza machungu kidogo .
 
Upendo kwanza mengine baadaye .
Pesa sio muhimu , mtu asikutese kisa pesa zake .
yah hawaelewi hao wanahisi kila ke yupo after money tu .
🀣🀣🀣😁😁😁😁😁🀣😁😁 pesa sabuni ya roho ila isiwe chanzo cha hizo jeuriiii Sijui dharauuuu Alooooooohh!!
 
Nitakuwa wa mwisho kukubali mwanamke na mwanaume wanahaki sawa mpka pale wanawake tutakapoweka wazi hii haki sawa ya mwanamke na mwanaume ni ya kwenye nini na nini
Mwanamke anaweza kuwa analipwa milioni 1 kazini na mumewe kazini milioni 1. Ila majukumu yote ataachiwa mwanaume, ye mwanamke hela zake ni kusuka , vicoba, ahadi kwenye sherehe, kushonesha vijota n.k na bado atakuja akuombe hela ya rejesha πŸ˜‚ πŸ™Œ
 
Eti jamani 🀣🀣🀣
Bora tu umpendee pesa zake, hata akizingua atleast umeonja onja visenti inapoza machungu somehow
Mnaniua Mbavuuuuuu🀣🀣🀣🀣🀣!! Hapana upendo wa pesa si mzuri Hata kidogo L!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…