Moyo Wangu ulivo wa kuridhika hata na kidogo sasa utashangaa naroho yako!!!! Afu mahusiano ya kujengwa kwa msingi wa pesa hayanogi kabisa inaonekana mtu amekupendea pesa na si true love!!
Hao kila mmoja wao ana uchungu na mauvimu yao, wanajazana hapa upepo, ila deep down mioyo yao imejeruhiwa na wakurungwaa π€£π€£π€£ wanapeana matumaini .. si unajua ma loser wakikutana huwa lazima wajazane upepo ili baada ya hapo wakikaa wanaona uharisia maumivu yanaendelea kama kawa
Nitakuwa wa mwisho kukubali mwanamke na mwanaume wanahaki sawa mpka pale wanawake tutakapoweka wazi hii haki sawa ya mwanamke na mwanaume ni ya kwenye nini na nini
Mwanamke anaweza kuwa analipwa milioni 1 kazini na mumewe kazini milioni 1. Ila majukumu yote ataachiwa mwanaume, ye mwanamke hela zake ni kusuka , vicoba, ahadi kwenye sherehe, kushonesha vijota n.k na bado atakuja akuombe hela ya rejesha π π