Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,562
Usiku mwema wakuu
Natuma mbKesho mkuu Leo mb za mawazo![]()
Ok na yakutolea mpendwaNatuma mb
Ila upokee wewe simu
Ok na yakutolea mpendwa
ya vocha haina ya kutoleaUsiku mwema wakuuView attachment 1259919
😁😁😁Nilijisahau kumbe unatuma mbya vocha haina ya kutolea
Mb za buku 2 zinatosha,
Nicheki nkutumie
Sijafikia hukoo mimi jamani
Natuma hela ,utanunua mb kwa mpesa ,tigo pesa nkNilijisahau kumbe unatuma mb
Shukrani mkuu nilijua matani umetuma kweliNatuma hela ,utanunua mb kwa mpesa ,tigo pesa nk
Mkuu kumbe we ni mke
Hata mimbwa yetu ruksa kupost.View attachment 1259922


Hahahaaaa mi ni me nimempost rafiki yangu wa kike akinisaidia kupika.Mkuu kumbe we ni mke
Shukrani mkuu nilijua matani umetuma kweli
ahsante kushukuruRafiki au shemeji etu mtarajiwa mkuu ?Hahahaaaa mi ni me nimempost rafiki yangu wa kike akinisaidia kupika.
OkHahahaaaa mi ni me nimempost rafiki yangu wa kike akinisaidia kupika.
Acha kumuharibia baharia mwenzio😁😁😁Rafiki au shemeji etu mtarajiwa mkuu ?
Ndiyo mkuu ni maeneo fulani vijijini kuna baridi sana.Hayo majani chini inaonyesha hali ya hewa ni baridi na miti inapuputika![]()