DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Sisi ni concerned citizens of this thread. Hatuna nia mbaya shemMtuacheeee
Sisi ni concerned citizens of this thread. Hatuna nia mbaya shemMtuacheeee
Hivi yako ulishaweka ee?Tunakumbushana chat na picha.
Bora umetokea eneo hili nibariki moja dearHivi yako ulishaweka ee?
Ukiweka please pleaseee nitag
Mimi ujue mtu mzima sana dear miaka 55 sio midogo sasa mobutu hata 30 hajafika si mtoto wangu huyoJamaa anajimwambafai eti we ndio wa ubavu wake kumbe mwongo nisamehe dada.
Mimi lilivyoona nilizima simu,nikatoa betri,nikavunja laini,nikanywa pombe kwa hasira,nikalalaYupo uko namuona kwenye stts ananiringishia mikono na ya kaka akee![]()




Kumbe unaona sasaHapana dear
Hizo ni air max
Supla ya kizamani yale,![]()
Bora umetokea eneo hili nibariki moja dear
ni wivu tu ndo zetu wabongo zama PM mzee mwenzangu.



Unamjaza mwenzioKwani kashashuka kwenye ile Vitz/IST?
Hahaha kweli nilikuwa nakutega halafu sikutegemea kuitikiwa vizuri vileHahah nilijua tu wanitega...kaone vile
Dadake punguza kidogo mwili ule uwe na miaka 55 siamini.Mimi ujue mtu mzima sana dear miaka 55 sio midogo sasa mobutu hata 30 hajafika si mtoto wangu huyo
Eeenh@shunie
Hivi kwanini hunitaki kiasi hiko
Anza wewe dear😘Hebu tuweke picha moja moja tumuaibishe shetani 😅
Hahahaha nimeona hyo..kumbe ni kakaMimi lilivyoona nilizima simu,nikatoa betri,nikavunja laini,nikanywa pombe kwa hasira,nikalala
Kumbe ni kaka,ngoja niamke sasa



Kaká wapi tunaongea kwa code we endelea kuzima simu na kunywa pombe tu dada katekwa na mahaba
Hizi picha ninazopost ujue za mdogo wangu wa mwisho dadaDadake punguza kidogo mwili ule uwe na miaka 55 siamini.