Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
Bado nasubiri lipa namba!Mwili wa kuvalia hayo madude nautoa wapi?
Kwanza kwani umemaliza kunichukulia magauni?
Bado nasubiri lipa namba!Mwili wa kuvalia hayo madude nautoa wapi?
Kwanza kwani umemaliza kunichukulia magauni?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alinipa Gari tatizo yani mm ukinihonga Gari au iPhone namuacha yolly yolly[emoji7][emoji7] hata sshv
Namba yangu ya Mpesa ipo inapigwa tu upepoBado nasubiri lipa namba!
Shikilia kabisaa na mpe peace of mind kama zoteeee 🤸👌Ndio ndiooooooooo kumbe!!!! Ngoja nishikilie sweetdaddie Wangu miee aweeee💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸!!!
Hizi busara mdogo wangu si umpatie mtu peace of mind jamaneee umeongea pointtt nimeipenda hiii😍!!
[emoji28]sio poaImekula kwako dada[emoji23]
Wanawake hatupendani
Tuna matamanio hehehe lakini within hayo matamanio Mungu atusaidie kujua mbivu na mbichi mapemaaaHapana aisee hata hivyo utamkimbia tu .. ukicheki wenzako getting kids , married pia , unatamani mwenyewe .
Kuna watu hawana mipango ya kuzaa hataa hapo ndo utaona Raha ya dating for fun .
Yeah rafikiEndelea kuwaogopa
Sisi tumeshinda jana tena wonder kid Gernacho kafunga...kwetu raha tu😅Kwani Carrasco putin na Jack Palladino wanasemaje
Amen kwa msaada wa MunguTuna matamanio hehehe lakini within hayo matamanio Mungu atusaidie kujua mbivu na mbichi mapemaaa
Chelsiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uzembe wa nan? C n mwanamke?Hahaha 10 years jamani hapana
mtu amekupotezea muda wote huo .
ungekuwa na watoto watatu hapo .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] majasusi huwajui na wakavu balaa.Eti jamani ? Hapo si mtu utakuwa shindikanaa wa kimataifa [emoji23][emoji23] ndo mtoto wa mtu tena anashindwa kukuweka ndani.
Ten yrs mbali, hapo tu 5yrs ni mzikii mzito kufika mkiwa mnahave fun,, labda iwe alikuweka ndani ukashindwa kuprovide peace of mind [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaaa.Mhh labda kwako unaweza..
The point of having fun, no strings attached mwisho mwaka 1 tu. Mkizidi sanaaa, yan mkanogeana sana basi msizidishe mi3
10yrs umeshikiliwaga tu na mtu ambaye hana future? Haha hapana aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hapanaaa.
Hebu niache bangi Zangu aiseeehhh!!Shikilia kabisaa na mpe peace of mind kama zoteeee 🤸👌
😂😂😂😋 awoteeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jichanganye kulipa wakati nina shida ya hela chungu nzima.
Ntakung"oa mayai bila ganzi.
Unapenda sana kuhongwa eeeeh?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alinipa Gari tatizo yani mm ukinihonga Gari au iPhone namuacha yolly yolly[emoji7][emoji7] hata sshv