Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Bwana mchumba acha kuninyanyasa😉Ahaa nyingi za muda, weka now!
Bwana mchumba acha kuninyanyasa😉Ahaa nyingi za muda, weka now!
Mjukuu cocastic ni mrefu kwenda chiniKama Unataka demu sema unataka aweje na mkienda viwanja je ungependa avaaje?
Unataka mwenye hips kama Antonnia
Unataka mwenye kiuno cha dondola kama Tinsley
Au awe mweupe kama Alayna
Au modo kama cocastic
Mwenye lips denda kama za sophy27
Au awe anajua kupika kama Saint Anne
Au mwenye mvuto kama Lenie
Au sauti nyororo kama Lovelovie
Au aliyeshika dini kama Heaven Sent
Au mwenye miguu ya bia kama Nuzulati
Mwenye chuchu sa sita kama Kelsea
Mwenye wowowo kama Rumaiya
Mwenye mapozi ya kimamtoni kama Lizzy
N.B vigezo masharti vimezingatiwa

Sina pic mpya!Bwana mchumba acha kuninyanyasa😉
Ya zamani nataka😋Sina pic mpya!
Very wellKama mimi![]()
Mume wangu yupi wakati ndio kwanza Nina Mchumba huyo 😂Mumeo anajua unamuita mtu mchumba?
Hako kashamba kamekuja mjini Selfika mwaka huu wakati mimi na Palladino tupo tangu miaka hiyoooWigelekelo naomba uje huku chap!
Unajua Saint Anne una moyo wa nyama na sio chuma ebu ulegeze moyo wako kwa tajiri ngosha mwenye ng'ombe zake za kutosha WigelekeloHako kashamba kamekuja mjini Selfika mwaka huu wakati mimi na Palladino tupo tangu miaka hiyooo
We hunitakii memaUnajua Saint Anne una moyo wa nyama na sio chuma ebu ulegeze moyo wako kwa tajiri ngosha mwenye ng'ombe zake za kutosha Wigelekelo
Black men are wonderfulhao ndo tunawapenda 😂😂
Wige ni tolu alafu blaki si huwa unasema unapenda wanaume warefu weusi?We hunitakii mema
Watu wote mjini kweli nihangaike na wasukuma 😂
Weh kweli??ila siyo wasukuma 😂😂😂Wige ni tolu alafu blaki si huwa unasema unapenda wanaume warefu weusi?
Wige alinipokea huko shinyanga mwaka jana ni mkarimu sana na nilifikia kwenye hotel yao ni mweusi na mrefu ila shida yake ni kwamba anaendesha kipasso.Weh kweli??ila siyo wasukuma 😂😂😂
Halafu hakaliki kama miguu ya kukuWige alinipokea huko shinyanga mwaka jana ni mkarimu sana na nilifikia kwenye hotel yao ni mweusi na mrefu ila shida yake ni kwamba anaendesha kipasso.
Moja kati ya picha ambazo wige anazipenda ni ile umevaa kigauni kifupi cheusi na umesuka twende kilioni! Basi huwa yupo hoi kabisaaa.Halafu hakaliki kama miguu ya kuku