Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,790
Unaniita rafiki unataka uninyime nn ww binti mrembo wa pekee mwenye jicho la kimahaba sauti ya kupunguza uhaba wa maji
Unaniita rafiki unataka uninyime nn ww binti mrembo wa pekee mwenye jicho la kimahaba sauti ya kupunguza uhaba wa maji
Aisee ile ajali inasikitisha sana kweli Ndege inavutwa na mtumbwiNimesalimika Mkuu, Mungu ni mwema, me nilisafiri Ijumaa wakati ajali imetokea Jumapili
Hapa nafikiria kuanza safari ya kurudi Kwa Miguu badala ya flight![]()
Nadhani umefika wakati Jeshi la Zimamoto na Uokozi likawezeshwa Kwa vitendea kazi vya kisasa kujiandaa na Majanga ya namna hiyo.Aisee ile ajali inasikitisha sana kweli Ndege inavutwa na mtumbwi
Sasa kama Joy ni eneo lako la kujidai, ama hapo karibu Live lounge na Deez Pub kwa nini usipajue Six kwenye mnada wa mbuzi...kesho zitajaa Harrier na ndugu zake hapo six balaa. Bwana bwana itabidi niache kula nyama ya mbuzi..its too much now


AiseeNimesalimika Mkuu, Mungu ni mwema, me nilisafiri Ijumaa wakati ajali imetokea Jumapili🙏🙏🙏
Hapa nafikiria kuanza safari ya kurudi Kwa Miguu badala ya flight 🚶🚶🚶
Waambie hao Vijana Wazee wao tunajinyima ili kuwasomesha 🤪SELFIKA now and thenView attachment 2408983
Ni kweli kbsa nadhan mlima kilimanjaro na ajali ya Ndege ni funzo tosha kwa serikaliNadhani umefika wakati Jeshi la Zimamoto na Uokozi likawezeshwa Kwa vitendea kazi vya kisasa kujiandaa na Majanga ya namna hiyo.
Kuna mambo yanatokea Kwa sababu!
Hujambo baba yollyUnaniita rafiki unataka uninyime nn ww binti mrembo wa pekee mwenye jicho la kimahaba sauti ya kupunguza uhaba wa maji
Kuna kipindi Cha watoto kwenye kisimbuzi Cha dstv sijui kinaitwa Fire and rescue, licha ya kuwa ni kipindi Cha watoto huwa nainjoi namna wanavyoorganize mazoezi yao ya Uokozi na vile wako on time.Ni kweli kbsa nadhan mlima kilimanjaro na ajali ya Ndege ni funzo tosha kwa serikali
Kuna kipindi Cha watoto kwenye kisimbuzi Cha dstv sijui kinaitwa Fire and rescue, licha ya kuwa ni kipindi Cha watoto huwa nainjoi namna wanavyoorganize mazoezi yao ya Uokozi na vile wako on time.
Kingine kizuri ni kuwa ikipigwa simu ya tukio la ajali huwa wana digest kuonesha eneo ajali ilipotokea na watumie teknolojia ipi kufanya Uokozi.
Kuna uwezekano hadi makabuli yetu yakafutika kwenye uso wa Dunia tusifike huko walipo wenzetu![]()





hata ile series ya Chicago fire iko vizur sanaHujambo baba yolly
sijui ulikuwa wapi huko
Yolly alikuficha eeh ?








nilikuwa tanga banaInapatikana kwenye kisimbuzi gani?hata ile series ya Chicago fire iko vizur sana
Inapatikana kwenye kisimbuzi gani?
Hiyo katuni ya Uokozi imefanya hadi Kijana wangu Mmoja kutamani kuwa Fire man (angejua njaa iliyopo pale asingetamani)![]()



pale Kuna hela bana Nina ndugu yangu yupo pale yupo vizur tu Nitafatilia Mkuupale Kuna hela bana Nina ndugu yangu yupo pale yupo vizur tu
Ilikuwa inaoonyeshwa dstv Ila waweza nenda library unawekewa
mmh umerudi sasa ?nilikuwa tanga bana
Nitafatilia Mkuu
Ila hilo la kuwa pale Pana maisha, bado sitaki kuamini aisee![]()








Next week narudimmh umerudi sasa ?
okay niceNext week narudi