ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,503
- 119,332
Kila ijumaa na jumapili. Jihadhari na maradhi yanayosababishwa na ulaji nyama kupindukia thoughHuwezi amini sikuwahi pajua kuna siku kwenye group wanapazungumzia nawauliza ni wapi
Nilipita last week jumapili nikaona tu nyomi nikaonyeshwa ni pale.
this weekend nikija Dar nitaenda.
Huwa ni kila jumapili? au?



.

