Miguu yangu haipendezi nguo fupi.eeh baba pasta huyo ndo apenda nguo ndefu .
Bora uvaee vile apendavyo bae wako
fupi nazo nzuri sana , itakuwa huvai vimini ndo maana.
mie navaa nguo zote tu ..
Cha chaaa🤣🤣🤣🤣Walipigwa biti balaa!! Hivi vitoto vya mwaka huu ni vihuni kweliii ....tukavibana kumbe vina chemba yao huko msituni viko team mtu 17 ..
Chemba ina masufuria hukohuko unga Michele mafuta bange pombe midamida vinatoroka shule vinazama chemba kupikaa nakufanya yao..Sasa ile juzi kubananishwa baadhi wakataja chemba ilipo tukavamia wengine wakakimbia kakabaki kamoja kako njwiiiii hakawezi hata kukimbia kamelewaaa form 1 imagine!
Ya nani?😂Saint Anne toka mchana , twasubiri picha
mmh hapana AnneMiguu yangu haipendezi nguo fupi.
Huwa najisemea😂
Alikuwa anasema lazima uvae,
Nashukuru tu Mungu naye aliona hazinipendezi.
😂Huyo huyo aachie lile jicho lake matataSema wewe kiazii kwako Saint Anne
Mimi yangu na matege juummh hapana Anne
itakuwa unapendeza tu
Nina miguu miyembamba lakini navaa tu nguo fuo
Si vikaandika barua kwa mkuu wa shule ku claim virudishiwe vitu vyao vikatishia vitachoma shule kwamba kabla ya tarege 25 November vitu virudi vikasema kumbe grupuni kuna na form 4 vipuuzi sana!!Cha chaaa🤣🤣🤣🤣
Kuna siku watawapiga
matege ndo mazuriMimi yangu na matege juu
Hapana Kwa kweli🤣
Ninavyotisha😂Fupi utavaa tukiwa wote tu!😊
Siyo haya matege yangu😂matege ndo mazuri
mie huwa sijali , navaa tu zangu fresh .
ya kwako dearYa nani?😂
Mnapigiana mpira.. Tinsley ameshatupia sana zamu yako kwanza then jicho matata la T linakufata..😂Huyo huyo aachie lile jicho lake matata
Aisee 🤣Si vikaandika barua kwa mkuu wa shule ku claim virudishiwe vitu vyao vikatishia vitachoma shule kwamba kabla ya tarege 25 November vitu virudi vikasema kumbe grupuni kuna na form 4 vipuuzi sana!!
Kuna watu wanayo kukuzidi Ila wanavaa .Siyo haya matege yangu😂
Hayatupia lile jichoMnapigiana mpira.. Tinsley ameshatupia sana zamu yako kwanza then jicho matata la T linakufata..
WeeeKuna watu wanayo kukuzidi Ila wanavaa .
sema nguo ndefu nzuri sana .
Form 4 ndio wamewaharibu na wanawatuma na kiwafundisha hawa madogo!! Hatari sanaAisee 🤣
Wakichoma shule wapasuliwe matako na wafungwe ndani
Hakuna namna
🤣🤣🤣Weee una miguu mizurii acha hizooo . Hebu tuone miguu basiWeee
Labda Kwa kunitoa ufahamu
Halafu ukikaa vibaya utasema miguu inaenda kuvunjika