Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Atakuwa ameelewa labda alete ubishi tu!😊Hebu mwambie wewe mchumba.
Analeta utani na mali za watu
Atakuwa ameelewa labda alete ubishi tu!😊Hebu mwambie wewe mchumba.
Analeta utani na mali za watu
Lol mi nipo bize kusubiri jicho rembua la Saint Anne kumbe ushatupia vitu vikareee Umependeza dear..Simpo hadi rahaona vyangu
Mimi Kuna manguo nimeshona kama bibi harusi vile🤣nguo ndefu nzuri sana
ninalo moja refu , nalipenda , sijali hata kma linanifanya niwe bonge .
Hebu tupia sasa Tano kichwaLol mi nipo bize kusubiri jicho rembua la Saint Anne kumbe ushatupia vitu vikareee Umependeza dear..Simpo hadi raha
Uzuri akileta ubishi utamuweka lock up alale siku mbili tatu bange zipungue kichwaniAtakuwa ameelewa labda alete ubishi tu!😊
Alooo jana na mwl wa nidhamu tuliwachapaaaaaaaa.. ni vi form 1 tu halafu!Wekaa picha kabla sijawaita wanafunzi wakuibie tena simu
Joto ni zuri, nywele zinakuaAsante na hili joto , unajikuna vizuri nywele .
eeh baba pasta huyo ndo apenda nguo ndefu .Mimi Kuna manguo nimeshona kama bibi harusi vile🤣
Kisa tu mtoto wa mtu alisema anapenda nguo ndefu..
Na nashukuru Mungu amenielewa kama nataka nguo ndefu maana kuvaa fupi hata sipendezi.
Weeehh ila zinawahi kuwasha balaaa!!Joto ni zuri, nywele zinakua
Mimi nisingerudisha😂😂Alooo jana na mwl wa nidhamu tuliwachapaaaaaaaa.. ni vi form 1 tu halafu!
Sasa hivi kusuka style sio poa labda isiwe nzito , na uwe na access na Ac .Joto ni zuri, nywele zinakua
Ndio maana Mimi Dar nasuka nywele za mkono tuWeeehh ila zunawahi kuwasha balaaa!!
Tatizo ni Hadi ufike ofisini kwenye ACSasa hivi kusuka style sio poa labda isiwe nzito , na uwe na access na Ac .
Fupi utavaa tukiwa wote tu!😊Yaani nguo ikishakuwa tu ndefu Mimi naipenda.
thank youLol mi nipo bize kusubiri jicho rembua la Saint Anne kumbe ushatupia vitu vikareee Umependeza dear..Simpo hadi raha
hapo ndo balaa hahaTatizo ni Hadi ufike ofisini kwenye AC
Huko njiani kwenye mwendokasi jasho linatoka kama maji
Walipigwa biti balaa!! Hivi vitoto vya mwaka huu ni vihuni kweliii ....tukavibana kumbe vina chemba yao huko msituni viko team mtu 17 ..Mimi nisingerudisha😂😂
Simu yenyewe ya boss leide narudishaje?
Sema wewe kiazii kwako Saint Annethank you
napenda vitu simple mie ..
Anne tuone jicho Hilo shata shata
Saint Anne toka mchana , twasubiri pichaSema wewe kiazii kwako Saint Anne
Afanye hima Atufanyie wepesi Jioni yetu iishe vizuri sie!Saint Anne toka mchana , twasubiri picha