Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
unione mara ngapinianze kukuona wewe kwanza
niambie ?
unione mara ngapinianze kukuona wewe kwanza
OhooNatia aibu![]()
![]()
Kuna kawiki nilikuwa nashinda kwenye vumbi yakaja
nimepambana nimeyatoa ila sasa nataka nipamvane kurudisha ulaini wa miguu mwee.
Yaani Nkamu nikifika hata robo tu ya urembo wako mbona ntamshukuru Mungu.
Nikimalizana na shughuli za shamba nikirudi mjini yaani nitakuwa nafanya kazi moja tu ya kujikoboa na scrub mwili mzima.

yeah wapo wenye shape zao balaa.Ila Ukikuta aliebarikiwa ni amebarikiwa kweri kweri!!
Sanaaaa!!yeah wapo wenye shape zao balaa.
Huenda tulikaa jirani aisee🤣nilienda nalo church eh
ni gauni common sana si unajua nguo za kariakoo .
unajua nikikuona mara nyingi nasikia rahaunione mara ngapi
niambie ?
Hivi ulishanyoa au uliahirisha!??nilienda nalo church eh
ni gauni common sana si unajua nguo za kariakoo .
Eti eeh , mbona hukunishtua BHuenda tulikaa jirani aisee🤣
bado nipo nazilia time kwanzaHivi ulishanyoa au uliahirisha!??
BLHivi ulishanyoa au uliahirisha!??

Kumbe eehunajua nikikuona mara nyingi nasikia raha
Chizi wewe 😂Mimi nimeridhia
Vile ulivyo lakini kama unajiongeza
Basi ni vyema mke wangu
Mi mwenyewe nawaza kunyoa na kakichwa kama katuni hapa ndio nawazaaaa😂😂😂😂!! Juzi nilitoka kufumua zilee nikataka kwenda saluni kunyoa wadada walionifumua wakanisihisihiii usinyoe madam usinyoee nikasuka twende kilioni kwanza izoizo naenda nazo kazini sina mudaaaa!! 😁😁😁 Ila ntazinyoa siku si nyingi!!bado nipo nazilia time kwanza
nilienda nalo church eh
ni gauni common sana si unajua nguo za kariakoo .
nasubiri ya week endKumbe eeh
nitakutumia unione tena
lipo humu ngoja nikutagTuone
Kwani hujui kuwa scrub inalainisha ngozi?Ohoo
Kujikoboa tena![]()