Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Enjoy huko beach .Hili joto,nikwenda beach kupunga upepo kdg
it's freaking hot outside
Enjoy huko beach .Hili joto,nikwenda beach kupunga upepo kdg
Achana na stori za saluni za kikeHuko usukumani nasikia mke anafua nguo hadi za mashemeji zake,yaani wadogo wa mume wake.
Katika vitu Siwezi kujichanganya basi ni kuolewa usukumani.
Vipi General Phiri ananaonekajeOuttara n handsome, afu anaonekana anajua sana kuzagamua na kugegeda.
Ooohpppps!!!
Eti naotaBado tu unaotaga hizo ndoto??
Kusonga ugali wa watu 200 na Kufua nguo za mashemeji hadi nitenguke kiunoAchana na stori za saluni za kike
Lazima nikupeleke ili ulete ushuhuda
Labda uchukue copy yangu ije kutoa ushuhudaEti naota
Subiri utaleta mwenyewe mrejesho
Wenye kichwa cha habari
Hakuna kama Wige
.@LenieKusonga ugali wa watu 200 na Kufua nguo za mashemeji hadi nitenguke kiuno
Kwanza wasukuma wakandamizaji.
Hata akinielewesha haitasaidia chochote.@Lenie
Mweleweshe huyu kiuno nyigu

Hapo kwenye ukandamizajiKusonga ugali wa watu 200 na Kufua nguo za mashemeji hadi nitenguke kiuno
Kwanza wasukuma wakandamizaji.
Eeeeeh Kanoute ni Main Crush,Hahha Coca
vipi Kanoute humcrush siku hizi ?




Aseeeh sasa kazin inakuaje??Nishazoea hii hali
toka nakua , ni mtu wa kujifungia ndani .
😍😍😍Eeeeeh Kanoute ni Main Crush,
Wee yule yuko full package, yaan amekamilika,
Kwa kanoute hakuna anae chomoka, uwiiiiiiih
kha kisa ???Mmmmh phiri hapanaaa,![]()
Nikiwa nyumbani ndo nakuwa hivyoAseeeh sasa kazin inakuaje??
Kanoute wa ulaya au wa Simba?Eeeeeh Kanoute ni Main Crush,
Wee yule yuko full package, yaan amekamilika,
Kwa kanoute hakuna anae chomoka, uwiiiiiiih
Hizo taarifa waliokupa wamekudanganya, njoo ujionee mwenyewe huku mwanamke full kudekezwaHuko usukumani nasikia mke anafua nguo hadi za mashemeji zake,yaani wadogo wa mume wake.
Katika vitu Siwezi kujichanganya basi ni kuolewa usukumani.
Mnoooo,
hapana chezea weuweh
Kanoute ni mtu na nusu![]()