Ndio maana nime hamia ARU.. kuna ka dogo kake na Depal acha nifanye leo lokoo mida yangu.. next week naenda TIA kufundisha kozi za kijamii nitaleta mrejesho
Ndio maana nime hamia ARU.. kuna ka dogo kake na Depal acha nifanye leo lokoo mida yangu.. next week naenda TIA kufundisha kozi za kijamii nitaleta mrejesho
kape namba yangu basi, maana mie mwenye nipo hapa.. nitaangalia ubini kama ukichomoa, maana najua kwenye kusaka hostel kataangukia mkononi mwa mlezi mie