Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
hahahahaHapana rafiki 😂😂
sema nikuite nani Basi
nambie basi ☺️☺️hahahaha
Eeeeh janjaa nimerudi na nimenawiri haswaaaa,Oyaa msela
Nani alikuficha
Utakuwa umerudi umenawiri
Swali je mimba imeingia![]()





Nahisi kuongea ni ngumu , mie ni mshamba maana kuonyesha signs sijui





kwann??🙏 🙏Mambo haya mawili nimekuomba; Usininyime [matatu] kabla sijafa. Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu. Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, BWANA ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.
hahaha nina aibu ile mbaya 😂kwann??
Babuuuuh, leo umeamua kupita na salsafa zangu.
Tupeeee ujumbee babuuuu, unanikosha mnooo.Faraja kidogoView attachment 2403531
Mchumbaa nlikua somewhere nakula bataaa, wee c ulinifukuza.Umeenda wapi huko sijui ukajifungia,, bila taarifa






Kweli unamteka Poker kijana wa watu haonekan aisee kweli una kipaji cha kuteka kijana hafulukuti kafa kaoza kwakohebu niache![]()
![]()
Majukumu ya kujenga taifa Carrasco putin vp bado upo single au umempata mama huruma!





naanzaje kuwa single sasa wanawake wapo million 31 hukoMabayaMambo vip
Haya dearNgoja nikupe hints.![]()
Okay dear nasubiri ☺️Ntakupaaaa subir kwan kidogo.![]()