Marahaba mdogo wangu uko poa?Hello kaka
shikamoo
nipo poa kabisa vipi wewe ?Marahaba mdogo wangu uko poa?
Mwenyejiii naomba nije kulaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nimecheka km chizi wallah.Kuna mtu anakutongoza then ukimuangalia unasema moyoni huyu ni big no , ndo wamwambia hapo Kaka I'm taken , ili asikusumbue kumkubalia .
Ila akija mkaka , unayempenda unaweza zuga siku kadhaa halfu Mambo yakatiki
Nami niko salama kabisa boss wangunipo poa kabisa vipi wewe ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mna nn lakini? Nacheka mnooo.Halafu unayempenda haji ng'ooo
Uliyemwita kaka kumbe ndo Mungu alikuketea[emoji23]View attachment 2403180
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Noma aisee
unayemtaka , hakutaki
usiyemtaka ndo huyo anakufata
Tatizo lugha dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pokea mtongozo huu [emoji23][emoji23]
We’ve been friends a while now, and I find myself really drawn in to you.
There’s just something that can’t be put precisely into words, but I feel like I love you.
Not just as a friend, but I love you because we are such good friends. [emoji7][emoji7]
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji7][emoji7][emoji7]
Kumekuchaaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo haya mawili nimekuomba; Usininyime [matatu] kabla sijafa. Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu. Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, BWANA ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.
😂😂😂Halafu unayempenda haji ng'ooo
Uliyemwita kaka kumbe ndo Mungu alikuketea[emoji23]View attachment 2403180
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nimecheka km chizi wallah.
Vizuri BossNami niko salama kabisa boss wangu
😂😂😂Tatizo lugha dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]