Marahaba mdogo wangu uko poa?Hello kaka
shikamoo
nipo poa kabisa vipi wewe ?Marahaba mdogo wangu uko poa?
Mwenyejiii naomba nije kulaa.
Kuna mtu anakutongoza then ukimuangalia unasema moyoni huyu ni big no , ndo wamwambia hapo Kaka I'm taken , ili asikusumbue kumkubalia .
Ila akija mkaka , unayempenda unaweza zuga siku kadhaa halfu Mambo yakatiki







dear nimecheka km chizi wallah.Nami niko salama kabisa boss wangunipo poa kabisa vipi wewe ?







nyie mna nn lakini? Nacheka mnooo.Tatizo lugha dear,pokea mtongozo huu
We’ve been friends a while now, and I find myself really drawn in to you.
There’s just something that can’t be put precisely into words, but I feel like I love you.
Not just as a friend, but I love you because we are such good friends.![]()






Kumekuchaaaaaaa!!!!Mambo haya mawili nimekuomba; Usininyime [matatu] kabla sijafa. Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu. Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, BWANA ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.







😂😂😂
dear nimecheka km chizi wallah.
Vizuri BossNami niko salama kabisa boss wangu
😂😂😂Tatizo lugha dear,![]()