Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Nataka kesho nikichukue.ooh kitakuwa kizuri sana hicho kitabu.
Kinahusu Viashiria vya kumsikia Roho Mtakatifu
Nataka kesho nikichukue.ooh kitakuwa kizuri sana hicho kitabu.
Ngoja tuone.siweki emoji..
kizuri sana hichoNataka kesho nikichukue.
Kinahusu Viashiria vya kumsikia Roho Mtakatifu
Anasema alitayarishiwa kila kitu kwenda kusomea uchungaji..Na Mke wake akaandaliwa mafunzo ya Mama Mchungaji.kizuri sana hicho
utatupa feedback kilivyo.
God's calling wow , umelezea kiufupi vizuri .Anasema alitayarishiwa kila kitu kwenda kusomea uchungaji..Na Mke wake akaandaliwa mafunzo ya Mama Mchungaji.
Alipofika Mungu akamwambia sikukuita uje usome uchungaji,baki ulipo 😂
IKabidi aanze kwenda kuapologize kwa wote aliowasumbua.
TAtizo mimi mvivu kusoma vitabu..
Nina vitabu vingi ila sidhani kama nishawahi maliza hata kimoja.
Mimi zangu audio tu..God's calling wow , umelezea kiufupi vizuri .
nakuelewa sana hapo mie pia nakuwaga mvivu kusoma aisee labda kiwe so interesting .
kusoma vitabu ni hobbyMimi zangu audio tu..
Mambo ya kusoma soma haya nisiwe muongo.
Kwahiyo umetoa emoj ukaweka likofiaCatalina Island Trip
View attachment 2400710
Saint Anne umeniona vyema sijaweka emoji.
View attachment 2400711
View attachment 2400715
View attachment 2400716
View attachment 2400717
View attachment 2400718
Nadhani hatudaiani na usije niuliza tena picha..Kwahiyo umetoa emoj ukaweka likofia
Halafu ukaweka emoj tena!
Usinitanie aseeeNadhani hatudaiani na usije niuliza tena picha..
Sawa nimekuelewa.Usinitanie aseee
Nataka sura yako,sitaki maji
Kwanza nina phobia na maji😡
Hakika wanaviwezea hivyo
Nikuone TinsleyHakika wanaviwezea hivyo
Tupia sasaUsinitanie aseee
Nataka sura yako,sitaki maji
Kwanza nina phobia na maji😡
Nakudaiiii🙁Sawa nimekuelewa.
Nakudaiiii🙁Sawa nimekuelewa.
Nitupie nini?Tupia sasa
Wengine ngoja tuspecialize kuimba kwaya tu😂Hakika wanaviwezea hivyo
Sawa nitakulipa usijali.Nakudaiiii🙁
Nitupie nini?
Una macho mazuri...filter