Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani katika vitu siwezi basi ni kutopokea simu ya bebii
Navyoisubirigi kwa hamu 😂 😂

Ila ndio nikipokea nakuwa nimekasiriiiika..nimefura hasiraaa
naye kuna sauti akiisikiaga tu anajua huyu mtoto amekasirika.
Hapo likijiongeza tu kidogo basi.
hapana chezea simu ya bebe
ikiita unajisikia hali fulani hivi ..unakuwa super excited .

hahaha kumbe kuna hadi sauti ya kununa ngoja nichukue notes , nije kumfanyia mtu fulani 😂😂 .
 
Mtukaribishe
Karibu
Screenshot_2022-10-26-21-24-56-34_99c04817c0de5652397fc8b56c3b3817.jpg
 
hapana chezea simu ya bebe
ikiita unajisikia hali fulani hivi ..unakuwa super excited .

hahaha kumbe kuna hadi sauti ya kununa ngoja nichukue notes , nije kumfanyia mtu fulani 😂😂 .
Yaani akiona tu naongea haraka kama mhubiri anayetaka amalize haraka 🤣 🤣 🤣
Najibu kwa kifupiii
Naye anaongeza maswali yule boya.
 
Hahaah anakujua vyema Baba pasta
na anakupenda mingi mingi .

mie nikiwa na hasira siongei aisee labda iwe siku mbaya ndo nitajibu huyo
Mimi jeuri yangu yoote siwezi kutopokea simu.
Ila nikipokea sasa naongea utadhani ugali umenikaba shingoni.

Kuna muda akikasirika anakata simu ananiacha nipambane na hali yangu.
Hasira zikimshuka muda kidogo tu huyoo anapiga.
 
Mimi jeuri yangu yoote siwezi kutopokea simu.
Ila nikipokea sasa naongea utadhani ugali umenikaba shingoni.

Kuna muda akikasirika anakata simu ananiacha nipambane na hali yangu.
Hasira zikimshuka muda kidogo tu huyoo anapiga.
hahaah huyo humuonei aibu eeh
unashusha tu vitu ..

bora anafanya hivyo maana ukiwa na hasira hamuwezi kuzungumza vyema
 
Back
Top Bottom