myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Hujambo jirani..Uzuri mtu akilewa ndo anaongea ukweli
Hujambo jirani..Uzuri mtu akilewa ndo anaongea ukweli
Hakuna cha mtongozo aunt😂😂😂Nimecheka looh
Ila ndugu umenikabidhisha ghafla Yan hata bila mtongozo niringe ringe Nile na nauli aah sitaki. 😂😂
🤣🤣Hakuna cha mtongozo aunt
Mtongozo utakukuta huko kwenye ndoa🤣🤣🤣 mdogo wangu hakoseagi
😂😂😂Sitaki tuma na ya kutolea kwanzaHakuna cha mtongozo aunt
Mtongozo utakukuta huko kwenye ndoa🤣🤣🤣 mdogo wangu hakoseagi
😂😂Uzuri mtu akilewa ndo anaongea ukweli
Karibu aunt nitakupa locationAuntie unaishi wapi nije kukutembelea jamani![]()
Naishi naye ArushaAuntie unaishi wapi nije kukutembelea jamani![]()
Tunasubiri selfieMje nimemiss kuselfika hata na ka tbt
Chezea hipusiNilijua tu utanimiss.
Hazipiti siku 2 hujaniquote.
Nipo jirani.
Nilichoka chiefSalama chief
Mbona mapema sana
Wewe na boss lady mnalala mapema kulikoni?
Inaendelea vizuri jirani, ubarikiwe sana jirani..Nipo jirani.
Siku yako imekuaje leo
Na umepata like 6Ukute wanajiandaa na mechi alfajiri
Shkamoo Mjep
Kesho nitatoa Mjukuu 🤪Toa hiyo emoj bana![]()
Maji marefu yaleHuyo Wige lazimaaa
Boss ledi kesho anasimamia Necta.

Anapenda kujitoa ufahamu@Saint AnneWige Mtu wa knamu gwako Saint Anne mr vocha si unaona wakikaa hata sekunde lazima wanisiane na kakili mwenyewe hawawezi kukaa bila kuqwotiana mr vocha
Itakua wanakua wanafanya mazoezi ya asubuhi ili kujiweka fit labda!!
Mie napambana na hali yangu tyu nimedokaaaajee hapa!!
Wakati huo nilikuwa nakupimiaWige nadhani kapepo kamemvaa aje kuharibu kapo yangu.
Nilikuwa singo napigwa na Upepo, yeye alikuwa anapiga rodi trip na kuweka kambi kila kituo.
Sasahivi amesubiri nipo dabo ndo anajidai kuniimbisha.