Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Wacha weeeWabheja sana mdogo Wangu hapa nashukuru nimepangiwa maeneo ya mwaloni huko nikanywe zangu supu ya Samaki tani yanguu!!

Hongera
Wacha weeeWabheja sana mdogo Wangu hapa nashukuru nimepangiwa maeneo ya mwaloni huko nikanywe zangu supu ya Samaki tani yanguu!!

Madam kumbe bado upo?Wige Mtu wa knamu gwako Saint Anne mr vocha si unaona wakikaa hata sekunde lazima wanisiane na kakili mwenyewe hawawezi kukaa bila kuqwotiana mr vocha
Itakua wanakua wanafanya mazoezi ya asubuhi ili kujiweka fit labda!!
Mie napambana na hali yangu tyu nimedokaaaajee 😉!!
Mimi nipo madam nasinzia sinzia Tu hapa
😂😂😂😂Huo mkono wa kushoto wenye saa huo weusi ni wa manyoya au uliungua mkuu ktk shughuli zako za ulozi?
Wambie waselfike kabla hawajalala tuone kama wako singo au wako dabo kama mzee wa yolly yolly
Madame Mkemia wetu analala mapa,kesho anasimamia watoto wetu
Si wanasemaga ukishaoa/ olewa au ukishapata mtu ndio wengine wanajitokeza kwa kasiiii.. Wige Anakuelewa kitambo sana nawe walijua hilooo ni amekukamia balaa😀😛Wige nadhani kapepo kamemvaa aje kuharibu kapo yangu.
Nilikuwa singo napigwa na Upepo, yeye alikuwa anapiga rodi trip na kuweka kambi kila kituo.
Sasahivi amesubiri nipo dabo ndo anajidai kuniimbisha.
Ebu tuone aunt😜Mimi nipo madam nasinzia sinzia Tu hapa
Hao taarifa zao dadamtu ninazo wapo singooo... Fanya wepesi basiii afu woten ni wifey matiriooo sasa!Wambie waselfike kabla hawajalala tuone kama wako singo au wako dabo kama mzee wa yolly yolly
WashindweeeSi wanasemaga ukishaoa/ olewa au ukishapata mtu ndio wengine wanajitokeza kwa kasiiii.. Wige Anakuelewa kitambo sana nawe walijua hilooo ni amekukamia balaa![]()
nbcplMdogo wangu leo pia si haba umetupia vitu vyako
Mechi gani hiyo?
Boss lady Antonnia njoo utuambie ni mechi gani mnajiandaa kucheza na Wigelekelo ?
Uone nnEbu tuone aunt😜
Ndiyo nn hii chief mzee wa lindonbcpl
Mie nipo sana Selfika sitroki hata kwa brudozaa💃💃😛😛!Madam kumbe bado upo?
Huyu Saint Anne anakurushia mpira🤣🤣
Unavyosinzia ukiwa singo aunt😁Uone nn
Kumbe huwa unanena Kwa lugha eeh!nbcpl
😂😂Unavyosinzia ukiwa singo aunt😁
Wakati ushafanya yako unapeleka tyu maembe saivi😁😁! Watu weuweeeeehhh💃💃😀🤸🤸🤸🤸🤸🤸Unavyosinzia ukiwa singo aunt😁
Napiga piga zoezi la kutupiaMie nipo sana Selfika sitroki hata kwa brudozaa!
Anne akili zake anazijua mwenyewe halafu siku mbilitatu hizi kachangamkaaa sio bure anakua keshatupia walai!!