Hapana amani itawale.
Hapo sawa
Moja ni ile niliyonyoa kiparaHahaha ila nakudai moja mimi
😁😁😁😁😁Mambo ya kufuta picha sio ishu kabisa
Moja ni ile niliyonyoa kipara
Siku nyingine tukijaliwa moja inatoshaHebu acha hizo.....Ya mwisho aisee
Ukimaliza kucheki weka yako hii sifuti View attachment 1258469

Siku nyingine tukijaliwa moja inatosha
Oh,Napita mpakani kule kuelekea kwa majirani zetu
Na sisi wengine tunaruhusiwa kuchukua ?0744787980
Chukua hiyo free offerNa sisi wengine tunaruhusiwa kuchukua ?
Khaaah!! Huo mji foleni inaishaga kweli?
Ameeeni ameeeniSometime Huwa Najiuliza Maswali Halafu Nabaki Namshukuru Mungu
Imagine Nina Kazi Napata Angalau Pesa Kidogo.
Pamoja Na Kua Nina Kazi Na Pesa Bado Kuna Mahitaji Nashindwa Ku Afford,Vipi Kuhusu Wale Watu Ambao Wanaamka Asubuhi Hawana Kazi Na Hawajui Wapi Waende Na Wanaishi!!
Mshukuru Mungu kwa kidogo ulichonacho huku ukiendelea kupambana.
Usijali kabisaa wala!Oh,
Ukija huku mkuu tutafutane basi
Nilituma nimefutaMbona imekaa sana!??
Ya kwako iko wapi