National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Baridaa kabisaaSalama vipi wewe ?
Baridaa kabisaaSalama vipi wewe ?
Mweh wekeni Basi tuoneAkiweka na mimi naweka ya jana
Ya Baba mtumishi Wigelekelo
Ni Post M-alone 😂 😂 😂 😂Mweh wekeni Basi tuone
VyemaBaridaa kabisaa
Unabadilisha tu watuNi Post M-alone 😂 😂 😂 😂
Ndo huyuhuyuUnabadilisha tu watu
😂😂😂
Mngenishtua nimetoka kimara mida hiiUtatukuta Kimara tupo kwenye lori
Mimi na baba mtumishi tutakufuata ulipoMngenishtua nimetoka kimara mida hii
Hahaaha huyo mwenyewe hayupo humu muda mrefu .Ndo huyuhuyu
Sibadili tena.
Wige ameshindwa kujipigania
Bro nna wadogo zangu 2 wanaosoma Uganda,, wanarudi Tz mwezi wa12 tu,, ni wanapata taabu kweli kweli kuongea kiswahili, kama sio kiganda fluent au kiingereza basi wachanganye kiganda na kiingereza,, wakiongea kiswahili utacheka ufeNasema hapana
Tena hapanaaaa
Wanavunga tu mkuu wangu
Lile li profesa Muhongo limekaa ulaya huko miaka tele lakini linapiga kiswahili vizuri tuu tena kimenyooka chief
Hahaaha huyo mwenyewe hayupo humu muda mrefu .
Utamswitch tu mwingine
Tumepigwaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sema nimefika
Hahaha nawasubiri hapa Mwenge 😂😂Mimi na baba mtumishi tutakufuata ulipo
Baadaye nitairudiaAu nirude bado nitawakuta maana huko napoenda sina cha kufanya
Saint Anne
Ni MjepHahaha nawasubiri hapa Mwenge 😂😂
Haya waitingNi huyohuyo
Ngoja aje aweke picha
Bro nna wadogo zangu 2 wanaosoma Uganda,, wanarudi Tz mwezi wa12 tu,, ni wanapata taabu kweli kweli kuongea kiswahili, kama sio kiganda fluent au kiingereza basi wachanganye kiganda na kiingereza,, wakiongea kiswahili utacheka ufe
Muhongo amezaliwa hadi on his late twenties yuko bongo hawezi pata shida kuongea kiswahili na alienda kusoma tu, sio kuishi,, pata ile mtu from secondary to masters ameishi nje,,
Mweh utawaja wote hadi Putin , baba yolly yolly .Ni Mjep
Post M-alone umemissikaHaya waiting