Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Achana na wale ambao wameenda kusoma, pata yule ambaye ameenda nje yuko kwenye social environment ambayo anazungukwa na watu wa jamii hyo,,

Nlienda shirati for a year,, nlivorudi moro kiswahili kinanipa shida,, lazima nichanganye kijita ndo niongee
Nilikuwaga hivyo zamani sijui Kiswahili sana Ila sasa naoongea mno 😂😂
 
Achana na wale ambao wameenda kusoma, pata yule ambaye ameenda nje yuko kwenye social environment ambayo anazungukwa na watu wa jamii hyo,,

Nlienda shirati for a year,, nlivorudi moro kiswahili kinanipa shida,, lazima nichanganye kijita ndo niongee
Braza ukiona hivyo kuna shida mahali nakuhakikishia, mimi nimeishi miaka 8 nje ya Tz mfukulizo baada tu ya kumaliza kidato cha nn na nimeishi na watu wanazungumza lugha yao native na nimesoma kwa lugha yao hiyo nimerudi bongo natwanga kiswahili vizuri sana na hata lugha yangu sijasahu hata neno moja
 
Back
Top Bottom