Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,543
Ukiongeaga hii kauli
Mimi hata sikuamini, umeanza lini utani jamani
Huwa nacheka sana peke angu.
Ukiongeaga hii kauli
Mimi hata sikuamini, umeanza lini utani jamani
Hata naelewa basiiiiKwa nini eti jamani huwa hawaelewi



Na kweli jamani dear!Hakuna mbu anaishi akivyonza damu yake
Thanks love, Yes nipo huku pursuing my MasterWow in Nicosia?? Hongera aisee!!
Kwa mbali unataka kufanana na Zamaradi Mketema
Naona dada....hatarii🔥🔥Ingizo jipya hilo kaka



anasema akija kwenye huu uzi anaogopa atakwaza watu,, binafsi namuelewa huu uzi hata mimi umenifanya nifunguke mno mixer na hizi pombe ninazokunywa sasa daah..
Na bahasha yake ya kaki!
We muache andelee kujificha








Hebu futa huo ukungu jamani mkuu
Doh!🙆🏽♂️❤️
HahahahahahahaUkiongeaga hii kauli
Huwa nacheka sana peke angu.
Thanks love, Yes nipo huku pursuing my Master
ushawahi kumuona laivu?
Hahaha na wale wazee wa kujifanya wanajua kutoa emojis watoe na huo ukungu sasa








wangu
Jamani,.unawezaje kuelewa jamani
Hapana auntie jamani, we si uliiba kishundu na miguu yangu
Auntie wewe ndo uliniibia shingo yanguu jamanii



Hahah na kama ndio kumekucha nilipo?Mkwe hebu kalale.