Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani Mimi 😂😂😂future husband anipange kabisa mama tutapambane tupate pesa ama nipambane na umalayawake 😂😂😂nijue naenda na kipi
Nina swaliii👆
Utapambanaje na umalaya wake ndugu mjumbe???
 
Nina swaliii👆
Utapambanaje na umalaya wake ndugu mjumbe???
Swali zuri hekaheka za.mwanaume Malaya huzijui ndugu presha ndogo ndogo na kuzimia mara Kwa mara 😂😂
Mara umemfumania mara hajalala nyumbani mara kahamia Kwa ashura Kwa tabata😂😂hizo kazi dada sio ndogo 😂😂
 
Swali zuri hekaheka za.mwanaume Malaya huzijui ndugu presha ndogo ndogo na kuzimia mara Kwa mara 😂😂
Mara umemfumania mara hajalala nyumbani mara kahamia Kwa ashura Kwa tabata😂😂hizo kazi dada sio ndogo 😂😂
Ahaa nilikua Sijaelewa vizuri sasa nimekupata mjumbe!
Santo sana kwa ufafanuzi!
 
Hudhani kuvumilia hyo tabia yake ni chanzo cha yeye kufanya zaidi kwa excuse kwamba wife hana noma as long nimeacha kibunda ndani
Kuna kuchepuka alafu Kuna umalaya kuchepuka hakuna mwanaume hachepuki na wengi wanaheshimu familia zao alafu Kuna umalaya ndo nachoongelea mwanaume Malaya
 
Hapo hadi jamaa akupende otherwise unapangwa zako fresh. .
Nyie wanaume mna mambo yenu .
Sio akupende tu mjumbe ... akupende Kweri kweri tenaaaa kama hauna maajabu yoyote hapo utaishia tu kusema nhiiiiiiiiiiiiiiiiiii ☺️☺️☺️..
Nimekazia tu Wajumbe naendelea kunukuu ✍️
 
Sio akupende tu mjumbe ... akupende Kweri kweri tenaaaa kama hauna maajabu yoyote hapo utaishia tu kusema nhiiiiiiiiiiiiiiiiiii ☺️☺️☺️..
Nimekazia tu Wajumbe naendelea kunukuu ✍️
😂😂😂Nimecheka
 
Back
Top Bottom