Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Utakatifu wa kusema et hamchepuki haupo na hata ukiwepo kwenye mia mmoja tu na ukweli wanawake wengi kwenye ndoa wamekubaliana nao japo unauma na nina experience na Hilo ninamama wa hiyari ana miaka 40 kwenye ndoayake na mumew alichaeat na mifano mingi ya rafikizake waliowahi kukutana na adha hiyo Tena enzi izo simu hamna😂😂😂Nyie mtatuambia nn muhimu tuheshimiane 😂😂😂😂
 
Utakatifu wa kusema et hamchepuki haupo na hata ukiwepo kwenye mia mmoja tu na ukweli wanawake wengi kwenye ndoa wamekubaliana nao japo unauma na nina experience na Hilo ninamama wa hiyari ana miaka 40 kwenye ndoayake na mumew alichaeat na mifano mingi ya rafikizake waliowahi kukutana na adha hiyo Tena enzi izo simu hamna😂😂😂Nyie mtatuambia nn muhimu tuheshimiane 😂😂😂😂
Usiusemee moyo mdogo wangu wao pia ukute wana yakwao jamanii hebu tungesikiliza na upande wa pili ndio tujaji sasa!
Experience zinatofautiana dadalakee
 
Labda Kwa wale wenye
Usiusemee moyo mdogo wangu wao pia ukute wana yakwao jamanii hebu tungesikiliza na upande wa pili ndio tujaji sasa!
Experience zinatofautiana dadalakee
Nimesema wapo ambao hawafanyi hivo angalia vizuri hapo juu ila na walio na ndoa mpya nao 😂😂😂😂niliwasahau hawanaga michepuko kabisa
 
Labda Kwa wale wenye

Nimesema wapo ambao hawafanyi hivo angalia vizuri hapo juu ila na walio na ndoa mpya nao 😂😂😂😂niliwasahau hawanaga michepuko kabisa
Hao ni suala la muda tyuu ni kama vile mahusiano yakiwa bado machangaa☺️☺️!


Awee Mdomo komaa 😷
Hebu niendelee kunukuu miee✍️✍️✍️
 
Back
Top Bottom