Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,275
Sawasawa... ujumbe umemfikia✌️✌️!!Mwambie bro anunue mpya![]()
Wewe Hauna ka selfii hapo kunogesha kikao mjumbe!!🤔🤔 Fanya kutubless huku tukiendelea na kikao pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Sawasawa... ujumbe umemfikia✌️✌️!!Mwambie bro anunue mpya![]()
😂Ila akiwa na pesa na akicheat ni sawa![]()
Hata kama ni nature ila hifanyi cheating kuwa OK,,Cheating ndo nature ya wanaume haiepukiki .
Si sawa pia .
Hatujasema ni sawa lakini kuvumilia vituvingi hatuwezi tunaumiaIla akiwa na pesa na akicheat ni sawa![]()
Hao wenye pesa aisee , kila mtu anamgombania ..... Sa nyingine Bora uanze na mtu from the scratch .Nainukuu hii pia mjumbe ..✍️ mwisho tutahitimisha kwa pamoja 😂!
Ebu ncheke kwanza🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 !!Unavumilia unajua unavumilia nn sio kilakitu Cha kuvumilia Tena wanakera zaidi adabu hamna Hela Hana umalaya nao anauweka wazi bas unateseka mara mbili ukija kushtuka parapanda imelia na hujawahi kupumzika Dunia hii😂
😂😂😂Ebu ncheke kwanza🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 !!
Naendelea kunukuu......✍️
Ngoja niangalie nkiiona ntaiweka sasa hvSawasawa... ujumbe umemfikia!!
Wewe Hauna ka selfii hapo kunogesha kikao mjumbe!!Fanya kutubless huku tukiendelea na kikao pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Aisee hapo inauma , bora ujiondokee zako .Unavumilia unajua unavumilia nn sio kilakitu Cha kuvumilia Tena wanakera zaidi adabu hamna Hela Hana umalaya nao anauweka wazi bas unateseka mara mbili ukija kushtuka parapanda imelia na hujawahi kupumzika Dunia hii😂
But kwa namna moja ulijua kwamba he's funky ila ukapuuziaUnavumilia unajua unavumilia nn sio kilakitu Cha kuvumilia Tena wanakera zaidi adabu hamna Hela Hana umalaya nao anauweka wazi bas unateseka mara mbili ukija kushtuka parapanda imelia na hujawahi kupumzika Dunia hii![]()
Hatarii sana hii mjumbe!! Ebu niinukuu kwanza tena kwa kuikolezeaaaaHao wenye pesa aisee , kila mtu anamgombania ..... Sa nyingine Bora uanze na mtu from the scratch .
So unavumilia kimoja?Hatujasema ni sawa lakini kuvumilia vituvingi hatuwezi tunaumia


Sawasawa mjumbe..Ngoja niangalie nkiiona ntaiweka sasa hv
Nani kakudanganya alipokupangia Mungu unga tela hapahapo unaweza kuwa na mtu mkaanza pamoja na akawa wa ovyo vilevile Tena wengi limbukeni balaa na ukawa na mtu anamaisha yake na akawa anajielewaHao wenye pesa aisee , kila mtu anamgombania ..... Sa nyingine Bora uanze na mtu from the scratch .
Unaogopa a little competitionHao wenye pesa aisee , kila mtu anamgombania ..... Sa nyingine Bora uanze na mtu from the scratch .


Navumilia kukosa Hela na kma ni umalaya nivumilie umalaya pekee sio vyote maisha yenyew mafupi hayaSo unavumilia kimoja?![]()
Utapata magonjwa bure kila siku uwaze wewe .Hatarii sana hii mjumbe!! Ebu niinukuu kwanza tena kwa kuikolezeaaaa
" Hao wenye pesa aiseee, kila mtu anamgombania"✍️
Mwisho wa kunukuu
Aisee haya hayaelewekiNani kakudanganya alipokupangia Mungu unga tela hapahapo unaweza kuwa na mtu mkaanza pamoja na akawa wa ovyo vilevile Tena wengi limbukeni balaa na ukawa na mtu anamaisha yake na akawa anajielewa
Haya mambo yapo hayaeleweki japo ukipata wa kuanza nae usiogope kuanza huwez jua mbele itakuaje
😂😂😂Sasa kama ni hivo maana yake tusitafute pesa na wanaume zetu ama 😂😂😂Hatarii sana hii mjumbe!! Ebu niinukuu kwanza tena kwa kuikolezeaaaa
" Hao wenye pesa aiseee, kila mtu anamgombania"✍️
Mwisho wa kunukuu
Unaogopa a little competition![]()
Utapata magonjwa bure kila siku uwaze wewe .
Wanawake wengine hawana huruma
Mdada mmoja aliolewa na jamaa mwenye pesa . Wanamtumia sms na kumchamba jinsi alivyo .
Naendelea kunukuu wadogo zangu✍️✍️✍️✍️ shushenii points shusheni pointsssNavumilia kukosa Hela na kma ni umalaya nivumilie umalaya pekee sio vyote maisha yenyew mafupi haya