Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Ile sio ya kitoto! Lazima uwe vyediii 🤭!Hahaha, mkuu umenibamba! Ila ile si baada ya kushiba ubwabwa-maharage, kuwa na mapene ya kutosha, kucheki arsenal na gospel za kutosha.
Ile sio ya kitoto! Lazima uwe vyediii 🤭!Hahaha, mkuu umenibamba! Ila ile si baada ya kushiba ubwabwa-maharage, kuwa na mapene ya kutosha, kucheki arsenal na gospel za kutosha.
4Ipi???
Ila naamini ni bomba sana, ukitoka hapo hata afya ya ubongo imeimarika.Ile sio ya kitoto! Lazima uwe vyediii!

Kwani na wewe si umechagua kuzikata Moja na nne?
Weka tu hivyohivyo na gesiNgoja gesi ipungue nipate pozi la kunyanyua kamera nipige foto! Saivi Bado nimeshiba sana
Weeeee hapana mzigo tulionao ni kwa wanaotoka kule bila kujua kusoma au kuandika! Sasa kama kwenye Kiswazi as medium of instructions imeshindikana huku kwa lugha za wenyenazo si ndio balaa kabisa!!Walimu wa primary wanafanyia watoto mitihani.
Mkalalamika kwamba mzigo mnaupata nyie kwa sababu wale watoto wanakuja secondary hata kusoma hawajui.
Shida haipo kwenye kuiba mitihani tu!
Shida ipo pia kwenye mifumo ya mitihani ya primary siku hizi.
Multiple choice masomo yote.
Hakuna mtu atafeli,Hata yule ambaye hajui kusoma.
Mandingo express on fleek 🤸🤭Ila naamini ni bomba sana, ukitoka hapo hata afya ya ubongo imeimarika.![]()
Mimi naona suluhisho siyo kubadilishana kusimamiaWeeeee hapana mzigo tulionao ni kwa wanaotoka kule bila kujua kusoma au kuandika! Sasa kama kwenye Kiswazi as medium of instructions imeshindikana huku kwa lugha za wenyenazo si ndio balaa kabisa!!
Warudishe utaratibu ule ule aisee !
Sasa tukishakuwa uniform si ndio matatizo yataanzia hapo. Kufanana kwingi sio salama sana🤭Kwani na wewe si umechagua kuzikata Moja na nne?
Basi Moja na 4 tuwe uniform ila wewe ubaki na arse8Sasa tukishakuwa uniform si ndio matatizo yataanzia hapo. Kufanana kwingi sio salama sana🤭
Kumbe umenisapoti kinafikiIla naamini ni bomba sana, ukitoka hapo hata afya ya ubongo imeimarika.![]()
🤣🤣nawe wapenda vitu vikubwa madam?Mandingo express on fleek 🤸🤭
🤭!
Wauweeeehhhhh 💃🚶🏼♀️🚶🏼♀️
Hahaha, ni fantasy kama fantasy zingine, kuna uzi alibamba maoni yangu.Kumbe umenisapoti kinafiki
Ewaa, kila mtu abaki kwake, tukiwa vibanda umiza tuwe na argument kidogo, sio kukubaliana kila kitu.Basi Moja na 4 tuwe uniform ila wewe ubaki na arse8
Hapana! mkuu 😳😳😳😳🤣🤣nawe wapenda vitu vikubwa madam?
Upo na Mjep au mwenyewe nije 🙈🙈
Asante KakaNzuri kabisa, nimependa tuvidole madam!
Tuone yaweke hapa😋Hahaha, ni fantasy kama fantasy zingine, kuna uzi alibamba maoni yangu.
Wee usinisikilizee Mie kichwa kibovuuu 😁😁😂😂😂😂😂!Kumbe umenisapoti kinafiki