Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na pesa ni jawabu la Mambo yote.

Sasa nitaje fupifupi mia Tano Tano na buku ambazo nimezizoea?

Chakula
Hela
Mpira
Muziki
Nikiangalia na Mama Kimbo 😂
Nimemaliza
Mimi nabaki na list yangu 1, 2. 3. 4. tu. Nimegundua naweza changanya hii list vizuri ikareplace vitu kibao kama Music, movie na football 😂
 
Wasomi wanajidai 🤓
20221013_160341.jpg
 
Ishatumika kwenye Majukumuu siku ile ileee! Yani nilienda kusimamia kama kulipa deni 😂😂! Hebu nikatandike failures kwanza
Naomba Mnihifadhie vodaaa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!!
🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️!!
Ndio zile mnasimamia la 7?
Ila wamewaonea walimu wa Sekondari .
Huwa naona sister analalamika sana,wakati mwingine anafurahi.
 
Back
Top Bottom