Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,844
- 16,095
Wa alaykumu s-salam kwema mkuuSamaleko mkuu!![emoji113]
Wa alaykumu s-salam kwema mkuuSamaleko mkuu!![emoji113]
Wee kwanza muongeaji tuu maana sijakuona kule kwengine muda.Wee jitoe ufahamu tu najua ushanielewaaa!! Ile makitu Sio mchezo ujue 🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️
Mwambie huyoooo👌👌👌👌😁😁Kama kilaza domozege wa kwanza mpenda mtelezo Baba Yolly Carrasco putin Putin kapata sembuse yeye mpambanaji??🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️Kufa single itakuwa wee mwenyewe umejitakia
Kwema sana mkuu!!Wa alaykumu s-salam kwema mkuu
Hujaniona Wapi kwani lile jukwaa limerudi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]??? Au Unasemea My home sweet home MMU?? ??? Mie nipo sana best juzikati nilipumzika kidogoo[emoji16][emoji16]!!Wee kwanza muongeaji tuu maana sijakuona kule kwengine muda.
Mie napiga viwili vya afya.
Bora umekubali kuwa wee ni wa key board🤣🤣🤣🤣🤣Hujaniona Wapi kwani lile jukwaa limerudi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]??? Au Unasemea My home sweet home MMU?? ??? Mie nipo sana best juzikati nilipumzika kidogoo[emoji16][emoji16]!!
Mie ni kweli ni muongeaji tu best mie actions zirooooo Nyuma ya keyboard kunasevuuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!
Nipo mambo mengi tu kipen,I[emoji2956][emoji2956][emoji8][emoji8][emoji8][emoji177]kaselfie baadae kidogo ntatupia..usijaliNafurahi kusikia hivo dear hope nawe afya yako inaendelea vizuri mamiiake!! Thanks dear tumekumiss pia!
Hauna ka selfii hapo ubariki mchan wetu mama kachanga??[emoji848][emoji848]
Madam unatoa Siri wakati umekula kiapo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Cha kutunza SiriNakwambia Nilikua msimamizi mkuu sasa Shule ilikua na mikondo 8 uwiii!! A hadi H huko unazunguka kama piaa hakuna kupumzika hadi muda unaisha! Miundombinu ya shule sasa madarasa yamekaa mbalimbalii afu kuna vi miinuko inuko jamaniii Nilikoma mbona sina hamuu[emoji119][emoji119]
Wee Nilivo muoga mimi Uwiii [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!Bora umekubali kuwa wee ni wa key board[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakuita ila ukija sio unajivunga unatakiwa ufunguke[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!
Hebuu niite huko kwanza
Njema sana mkuu wabheja sana kuibles Jioni yetu!!Za jion wakuu.View attachment 2381840
Niite nakuja kufungukaaaa best!! Mie teinnnaaaaaaa 😛💃💃🤸🤸!!Haya niite 😜Nakuita ila ukija sio unajivunga unatakiwa ufunguke
Me mzima jiraniHujambo jirani
Pametuliaaaaaa kinoma noma ✌️✌️✌️Cold waterView attachment 2381854
Salama kabisa jirani..wewe jeMe mzima jirani
Weekend yako inaendaje
Tayari wee njoo kwenye uzi ule tusikie madhambi yako🤣🤣🤣🤣Niite nakuja kufungukaaaa best!! Mie teinnnaaaaaaa 😛💃💃🤸🤸!!Haya niite 😜