Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,844
- 16,094
Wa alaykumu s-salam kwema mkuuSamaleko mkuu!!![]()
Wa alaykumu s-salam kwema mkuuSamaleko mkuu!!![]()
Wee kwanza muongeaji tuu maana sijakuona kule kwengine muda.Wee jitoe ufahamu tu najua ushanielewaaa!! Ile makitu Sio mchezo ujue 🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️
Mwambie huyoooo👌👌👌👌😁😁Kama kilaza domozege wa kwanza mpenda mtelezo Baba Yolly Carrasco putin Putin kapata sembuse yeye mpambanaji??🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️Kufa single itakuwa wee mwenyewe umejitakia
Kwema sana mkuu!!Wa alaykumu s-salam kwema mkuu
Hujaniona Wapi kwani lile jukwaa limerudiWee kwanza muongeaji tuu maana sijakuona kule kwengine muda.
Mie napiga viwili vya afya.



??? Au Unasemea My home sweet home MMU?? ??? Mie nipo sana best juzikati nilipumzika kidogoo
!!


!!Bora umekubali kuwa wee ni wa key board🤣🤣🤣🤣🤣Hujaniona Wapi kwani lile jukwaa limerudi??? Au Unasemea My home sweet home MMU?? ??? Mie nipo sana best juzikati nilipumzika kidogoo
!!
Mie ni kweli ni muongeaji tu best mie actions zirooooo Nyuma ya keyboard kunasevuuu!!
Nipo mambo mengi tu kipen,INafurahi kusikia hivo dear hope nawe afya yako inaendelea vizuri mamiiake!! Thanks dear tumekumiss pia!
Hauna ka selfii hapo ubariki mchan wetu mama kachanga??![]()





kaselfie baadae kidogo ntatupia..usijaliMadam unatoa Siri wakati umekula kiapoNakwambia Nilikua msimamizi mkuu sasa Shule ilikua na mikondo 8 uwiii!! A hadi H huko unazunguka kama piaa hakuna kupumzika hadi muda unaisha! Miundombinu ya shule sasa madarasa yamekaa mbalimbalii afu kuna vi miinuko inuko jamaniii Nilikoma mbona sina hamuu![]()



Cha kutunza Siri







Wee Nilivo muoga mimi UwiiiBora umekubali kuwa wee ni wa key board![]()




!! 



!!!Nakuita ila ukija sio unajivunga unatakiwa ufunguke!!!
Hebuu niite huko kwanza
Njema sana mkuu wabheja sana kuibles Jioni yetu!!Za jion wakuu.View attachment 2381840
Niite nakuja kufungukaaaa best!! Mie teinnnaaaaaaa 😛💃💃🤸🤸!!Haya niite 😜Nakuita ila ukija sio unajivunga unatakiwa ufunguke
Me mzima jiraniHujambo jirani
Pametuliaaaaaa kinoma noma ✌️✌️✌️Cold waterView attachment 2381854
Salama kabisa jirani..wewe jeMe mzima jirani
Weekend yako inaendaje
Tayari wee njoo kwenye uzi ule tusikie madhambi yako🤣🤣🤣🤣Niite nakuja kufungukaaaa best!! Mie teinnnaaaaaaa 😛💃💃🤸🤸!!Haya niite 😜