Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20221009_161753.jpg
 
Weweeeeeh according to mwanahabari na msemaji mkuu wa watu na wachumba wao selfika baba Yolly Yolly ameshakukabidhi rasmi mr vouuchaaaa na saii anainjoy madikodikoo yakooo!! 😁😁!! Saii ni wewe na mzungu Wetu selfika Binti murembo cheupe dawa akee Alayna!
Mie nishasema kitambo humu siwaweziii 🙌🙌🙌!!
😂😂😂😂Dah mm nilikuwa namtaka bachelor sugu Sasa itakuwaje😂
Mad Max
 
Kila la kheri mdogo Wanguuu!! Feedback mapema yote hii zanini uache mapepeee,, tulia kwanzaaaa uusome mchezo nenda nae adoo adoo hadi aelewekeee!! Ukileta feedback utawangiwa bureee tena mchana kweupeeee wanga tumejaa telee usiseme sijakwambiaaaa!! 🤭🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️!!
Ila make sure huyo ndie ulieona anakufaa au kama bado unachagua chagua vuta subira usije tuumizia sweetmadame wetu selfika bado tunampenda na kumuhitaji sana tyuu make Vijana akili zenyu mnazijua wenyewe!😉!
Nataka nijiweke nitulie mi nishachoka kutanga tanga kabisa. Yaani hutokaa kuniona jukwaa la Love Connect.
 
Hahahaha dah ngoja niusuke uzi mpya. Nauweka saa 7 usiku. Ukicomment tu naomba Mods waufute.
🤣🤣🤣Uzi uwe mfupi yaani nisichelewe kusoma watu wakawahi 🤣🤣🤣
Uzi wanini mnaprolong mambooo yatakua mengi !! Vimeshaumana just get a room for the talk pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Msiniangusheee🤭😁!!
 
😂😂😂😂Dah mm nilikuwa namtaka bachelor sugu Sasa itakuwaje😂
Mad Max
Bachelor sugu wapo wengiii kuna National Anthem mzabzab nae anatafuta wa kuzaa nae hukooo sijui washampatia mwongozo anajua mwenyewe!! Mad Max anakufaa kwakua you will start afresh woteee!! Hao wengine sijajuaaa ila nasikia bossi kubwa Africa Asia na Ulaya zake yupo vyediii sana mi nimesikia tyu sijajua ukweli wakee!! Au fanya hima ukashuhudie mwenyewee mdogo wangu!!
 
Bachelor sugu wapo wengiii kuna National Anthem mzabzab nae anatafuta wa kuzaa nae hukooo sijui washampatia mwongozo anajua mwenyewe!! Mad Max anakufaa kwakua you will start afresh woteee!! Hao wengine sijajuaaa ila nasikia bossi kubwa Africa Asia na Ulaya zake yupo vyediii sana mi nimesikia tyu sijajua ukweli wakee!! Au fanya hima ukashuhudie mwenyewee mdogo wangu!!
Nyie mbona mnanisingizia. Mwenzenu nina mke na mtoto kabisa mnasema eti bachela🤣🤣🤣🤣
 
Bachelor sugu wapo wengiii kuna National Anthem mzabzab nae anatafuta wa kuzaa nae hukooo sijui washampatia mwongozo anajua mwenyewe!! Mad Max anakufaa kwakua you will start afresh woteee!! Hao wengine sijajuaaa ila nasikia bossi kubwa Africa Asia na Ulaya zake yupo vyediii sana mi nimesikia tyu sijajua ukweli wakee!! Au fanya hima ukashuhudie mwenyewee mdogo wangu!!
😂😂😂😂Natumaini jioni ya Leo anatakiwa kufanya muamala Kwa madam
Mad Max sio Kwa cv hii iliyoshiba uliyoandaliwa 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom