Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,302
Miss you more dadake😘😘😍!😂😂😂Nilikumiss mno
Miss you more dadake😘😘😍!😂😂😂Nilikumiss mno
Weee sijaona kipenzi Naomba urudie jamani sijakuona kitambo dadaa!! 😌Nimepita full dada Leo haupo na kukuita nimekuita jmn
Umenisusa hadi sio poa vale!! Ntakutafuta kule sikupatii kabisa mamaa!!![]()
tumesusana jamaniPole sanaNakwambia Nilikua msimamizi mkuu sasa Shule ilikua na mikondo 8 uwiii!! A hadi H huko unazunguka kama piaa hakuna kupumzika hadi muda unaisha! Miundombinu ya shule sasa madarasa yamekaa mbalimbalii afu kuna vi miinuko inuko jamaniii Nilikoma mbona sina hamuu🙌🙌
Weweeeeeh according to mwanahabari na msemaji mkuu wa watu na wachumba wao selfika baba Yolly Yolly ameshakukabidhi rasmi mr vouuchaaaa na saii anainjoy madikodikoo yakooo!! 😁😁!! Saii ni wewe na mzungu Wetu selfika Binti murembo cheupe dawa akee Alayna!😂😂Dah Mjep si wako wew na Alayna
All is well umemaliza salama. Pole na hongera sana madame. 🤝Nakwambia Nilikua msimamizi mkuu sasa Shule ilikua na mikondo 8 uwiii!! A hadi H huko unazunguka kama piaa hakuna kupumzika hadi muda unaisha! Miundombinu ya shule sasa madarasa yamekaa mbalimbalii afu kuna vi miinuko inuko jamaniii Nilikoma mbona sina hamuu🙌🙌
Wabheja sana!! ✌️✌️All is well umemaliza salama. Pole na hongera sana madame. 🤝
Kila la kheri mdogo Wanguuu!! Feedback mapema yote hii zanini uache mapepeee,, tulia kwanzaaaa uusome mchezo nenda nae adoo adoo hadi aelewekeee!! Ukileta feedback utawangiwa bureee tena mchana kweupeeee wanga tumejaa telee usiseme sijakwambiaaaa!! 🤭🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️!!Nipo napambana PM feedback zitakuja leo 😍😍😍
Mwee ndio kwanza nimelala ,Junia ananipepea tu tumbo languSaint Anne bado nasubiria selfii yako mdogo Wangu!!
Watu mna siri nyie!!Niko POA,she is well and good Mungu mwema
Mmewamis![]()
Neema Gospel nawaelewa tangu zamani enzi za akina Kanumba.Amen Sis
tupo huru kweli kweli
Uone tembo Cement?Uongoooo!! Hebu tuonee usintanieeee!!😌😌😌!!
Ndio ila utaweka badae saivi naweka Simu chaji nikatengeneze kitafunwa kesho asubuhi!!Uone tembo Cement?
AfadhaliNdio ila utaweka badae saivi naweka Simu chaji nikatengeneze kitafunwa kesho asubuhi!!