Hee maana yake nini
Heee kumbe ww msukuma chotara 😂😂Hee maana yake nini
😅😅 bana wee acha tuHeee kumbe ww msukuma chotara 😂😂
Umewaka waka
Nifanyeje sasa na maombi hutakiMchumba unaniacha napotea😊
Nifanyeje sasa na maombi hutakiMchumba unaniacha napotea😊
Pambana….😅😅 bana wee acha tu
Ngoja nimpigie mjomba nimuulize.
Btw karibu usukumani
Nataka sana sema tukipanga unapotea!Nifanyeje sasa na maombi hutaki
Asante dearUmewaka waka
Nani anapotea?Nataka sana sema tukipanga unapotea!
Watawaliza tuKila la heri Al Hilal
Tukutane kwa mkapa kuwashangilia Wasudan
Nani anapotea?
Nilikuwa go ahead kwamba unitafute na hukunitafuta.
Huwezi jua,siku hiyo ingeleta nini.
Sijui lini nitafika Mwanza na mimi
Sijui amepotelea wapi,Nimemtag asubuhi ila hajatokea.Nkamu dada mkuu yupo wapi sijamuona muda