Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mmeupiga mwingi sana
Hii barabara ni moto wa kuotea mbali

Kutoka pale Mpemba hadi Isongole boda ya Malawi barabara ilikuwa haipitiki mvua ikinyesha.

Yaani kona,milima wameiua hadi nikawa nashindwa kutambua maeneo.
Tunashukuru kwa kuona na kutambua mchango wetu mzuri katika ujenzi wa nchi hii mdogo wangu😍
 
Selfika na #halotel#
 

Attachments

  • 20221004_161313.jpg
    20221004_161313.jpg
    212.9 KB · Views: 7
Hapa
Afadhali maana Dah!
Sijui hata mtapatengeneza vipi mtajua wenyewe.

mm huwa natembea kwa mguu..Naogopa.
Madereva wenyewe akili hawana,Wanaovertake hovyo tu.

Na ule utaratibu wao wa gari kupita kwa wakati hausaidii chochote maana pale Mbalizi wanaruhusu Gari ndogo zianze kupanda wakati huku Iwambi bado malori hayajamaliza kushuka.
Hivyohivyo wakati wa kushuka unakuta Malori hayajamaliza kupanda.
Next project ni pale Iwambi mdogo wangu tutapasawazisha yaani hutaamini
 

Attachments

  • 20220930_181715.jpg
    20220930_181715.jpg
    1 MB · Views: 5
  • 20220930_150713.jpg
    20220930_150713.jpg
    1.3 MB · Views: 5
Back
Top Bottom