Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,815
- 10,702
Aiiiiiiiiii Mungu atupe nini sieeeeee kama mambo ndio yanaanza hivi baada ya mwaka si tuna kijiji chetu tayar😄😄 Nimebeba korosho, karanga, mihogo, asali debe zima vya kuanzia maisha
Aiiiiiiiiii Mungu atupe nini sieeeeee kama mambo ndio yanaanza hivi baada ya mwaka si tuna kijiji chetu tayar😄😄 Nimebeba korosho, karanga, mihogo, asali debe zima vya kuanzia maisha
Yaani ni mwendo wa twin tiwn 😊😊😊 tunaanzisha kijiji chetu, na generation yetu wenyewe 😁😁😁Aiiiiiiiiii Mungu atupe nini sieeeeee kama mambo ndio yanaanza hivi baada ya mwaka si tuna kijiji chetu tayar
View attachment 2369741Vocha vocha muhimu sana
Naleta ile ya KFC 🤣Hushindwi kuleta dp yangu hapa 😂😂
Nitajiselfisha mwenyewe
Tunafyatua tuu wakifika mwaka tunafyatua vingine chap chap ni mwendo wa chap kwa harakaYaani ni mwendo wa twin tiwn 😊😊😊 tunaanzisha kijiji chetu, na generation yetu wenyewe 😁😁😁
Weeee 😂😂Naleta ile ya KFC 🤣
Navyokupenda my empress siwezi kukuchosha kila mwaka, bora hata unapumzika miaka miwili, imo tena 😀😀😀Tunafyatua tuu wakifika mwaka tunafyatua vingine chap chap ni mwendo wa chap kwa haraka
Hii inanoga sanaAloo
Nyanyachungu nimepika.
Mimi huwa naona bora nipike mwenyewe maana huyu binti yetu anapika kama analoweka nguo,,chakula kinaungua na yupo hapohapo.View attachment 2369603
View attachment 2369610
Didi ake didiIssa byurifoo chuzdei 💋❤️🔥View attachment 2369751
Waongo hawa, waache tufaidi
😀😀😀 Raha kulambwaa eeehWaongo hawa, waache tufaidi
Didi ake hanaga kazi mbovu 👌👌Didi ake didi
😂😂
Jirani kumbe una chuchu saa sita
Lahaa, raha sanaRaha kulambwaa eeeh
UsiondokeKama ni OG!dah ngoja tu niondoke hapa