Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole Lovelovie .. Kwenye maisha sio kila mtu yupo kutusaidia, anaweza akawa ndugu wa toka nitoke, ila moyo ukawa mzito kabisa. Ila unaweza kutana na walio kusudiwa na Mungu kukusaidia, mioyo yao ni myepesi kabisa kwako. Wasamehe wapende huwenda hawakuwa wamekusudia kuwa msaada kwako.
Kweny maisha hakuna mtu asokua na msahada kwa mwenzie kivyovyote vile Kuna namna mtu atakua anajuhutaji
Mtu anapokua na shida unaweza ushindwe kumsaidia kiuchumi lakn uwepo wako machoni kwake ukawa ni uponyaji
Mim sio mtu wa kumchukia mtu kirahisi Ila hua najitahidi sana kuwapisha watu ambao ni chanzo Cha maumivu..... Na sio kwamba wao kweny matatizo sitahusika hapana....... Mim naweza kua kipaumbele kweny matatizo Yao kuliko mtu mwingine yyt
 
Kweny maisha hakuna mtu asokua na msahada kwa mwenzie kivyovyote vile Kuna namna mtu atakua anajuhutaji
Mtu anapokua na shida unaweza ushindwe kumsaidia kiuchumi lakn uwepo wako machoni kwake ukawa ni uponyaji
Mim sio mtu wa kumchukia mtu kirahisi Ila hua najitahidi sana kuwapisha watu ambao ni chanzo Cha maumivu..... Na sio kwamba wao kweny matatizo sitahusika hapana....... Mim naweza kua kipaumbele kweny matatizo Yao kuliko mtu mwingine yyt
Moyo mzuri kabisa huo ulio nao. Maisha ni mystery. Hata kesho hatujui nini kinaweza tokea au kikabadirika. Ulifanikiwa maliza chuo mdogo wangu
 
Screenshot_20220927_164546_com.google.android.youtube_edit_67838236637565.jpg
 
Back
Top Bottom