Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unapika nini dear?
Leo nipo nyumbani, mdogo wangu kaenda kwao. Hapa hata chai sijachemsha maana sijui hata sukari ipo wapi.

Jana usiku nilipika, fikiria nampigia simu kumuuliza chumvi ipo wapi. Mara hivi humu ndani kuna beef masala? Akaishia kunicheka. Nimekuwa mgeni kwenye jiko langu mwenyewe.
Aloo

Nyanyachungu nimepika.
Mimi huwa naona bora nipike mwenyewe maana huyu binti yetu anapika kama analoweka nguo,,chakula kinaungua na yupo hapohapo.
IMG-20220927-WA0009.jpg

View attachment 2369610
 
Aloo

Nyanyachungu nimepika.
Mimi huwa naona bora nipike mwenyewe maana huyu binti yetu anapika kama analoweka nguo,,chakula kinaungua na yupo hapohapo.View attachment 2369603
View attachment 2369610
Kinavutia sana, napenda sana nyanya chungu bamia na biringanya.

Sasa mimi inabidi nianze hivi. Halafu utanishauri nipike style gani. Si ndiyo?

Acha niwakate kwanza.
20220927_141653.jpg
 
Kinavutia sana, napenda sana nyanya chungu bamia na biringanya.

Sasa mimi inabidi nianze hivi. Halafu utanishauri nipike style gani. Si ndiyo?

Acha niwakate kwanza.View attachment 2369614
Kaanga mmoja, mwingine kunywa supu😊.

Hata mimi huwa napenda nyanyachungu bamia na bilinganya,,naona dunia yote yangu😁.
 
Kaka mwenye jobless ukiomba hela anakupa maneno 😄😄
Unajua mdg angu........aaah unajua mdg angu......mim mama angu alivyougua tu nikakosa pesa ya kujiunga na chuo Kuna hao ma kaka upande wa baba nkawa nawaomba pesa niongezee nilipie ada na mambo madg madg kila siku ikawa unajua unajua.........Tokea siku hyo sijawai wapgia sim wakiniuliza hivi unaish wapi nije kukutembelea na mim hua ntawaambia unajua unajua unajua
 
Unajua mdg angu........aaah unajua mdg angu......mim mama angu alivyougua tu nikakosa pesa ya kujiunga na chuo Kuna hao ma kaka upande wa baba nkawa nawaomba pesa niongezee nilipie ada na mambo madg madg kila siku ikawa unajua unajua.........Tokea siku hyo sijawai wapgia sim wakiniuliza hivi unaish wapi nije kukutembelea na mim hua ntawaambia unajua unajua unajua
Pole Lovelovie .. Kwenye maisha sio kila mtu yupo kutusaidia, anaweza akawa ndugu wa toka nitoke, ila moyo ukawa mzito kabisa. Ila unaweza kutana na walio kusudiwa na Mungu kukusaidia, mioyo yao ni myepesi kabisa kwako. Wasamehe wapende huwenda hawakuwa wamekusudia kuwa msaada kwako.
 
Back
Top Bottom