Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Not something hot???πππππ Nibebee hiyo, hiyo utayobakiza
Not something hot???πππππ Nibebee hiyo, hiyo utayobakiza
Espresso double ππNot something hot???π
You got it!Espresso double ππ
Fanya hivo utuletee ubuyu kamilii shoss akee!!







Imekutoaa na hicho kirangi chake murua kabisa![]()





Na πππYou got it!
Na mie nilitaka kutaja Annuarite.Ahsanteee dear,hao St.Mary's Mazinde niliwatamani na fomu nlitaka nichukue Ila Sasa nimeshindwa kitu kimoja ,kishika shule Yaani mfano dogo akifauli interview natakiwa nitoe pesa ya kushika jina almost 1m,Hapo bado hujatoa bahasha kidogo ili achaguliwe nimechoka balaaaa!nimechemka natafuta ambayo Haina makando kando ya kushika jina,wala kupita mgongo wa nyuma!maana uchum wenyewe wa mapambano huu!
Ndo hvyo tu mtoto asome hakuna namnaa!
Anwarite ngoja nifatilie kipenzi
Kama kawa shosteee
Nikakwepa vikwapa vya watu vya mchana![]()






Unakuja lini wee??Nisubiri hapohapo,Mwenyeji nakuja .






Watoto mnajua kujificha nyinyi!!
Ukipotea unapotea haswaa shoss akee!!
Hio byeee kwiooooo!! Hatutakiii byee yako tunataka uwepo wakooo sie!!Byeeeeeeeeeeeeeee!!!!!
Ntawamic sanaaaa woteeeeee.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
π€£π€£π€£π€£Kuna hii moja mdudu ππ sijui ilitoka wapi kwenda wapi.. ila iko katika chats zako Lenie
View attachment 2368712
ππππ hivi unajua zimetokea mtiririko mkubwa?π€£π€£π€£π€£
Ilikua inatoka kwa mdudu kwenda kwa mdudu
Za blututh zipo ngapi?ππππ hivi unajua zimetokea mtiririko mkubwa?
Akiiii mtu asije jaribu
SijaonaZa blututh zipo ngapi?
Ila nimechekaaa