Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahsanteee dear,hao St.Mary's Mazinde niliwatamani na fomu nlitaka nichukue Ila Sasa nimeshindwa kitu kimoja ,kishika shule Yaani mfano dogo akifauli interview natakiwa nitoe pesa ya kushika jina almost 1m,Hapo bado hujatoa bahasha kidogo ili achaguliwe nimechoka balaaaa!nimechemka natafuta ambayo Haina makando kando ya kushika jina,wala kupita mgongo wa nyuma!maana uchum wenyewe wa mapambano huu!
Ndo hvyo tu mtoto asome hakuna namnaa!
Anwarite ngoja nifatilie kipenzi
Na mie nilitaka kutaja Annuarite.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20220926_142835_com.instagram.android_edit_7462167700423.jpg
 
Back
Top Bottom