Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

all the best ,umekuza

Anwarite , St. Mary goreth , Kibosho girls zipo moshi. angalia na St.Mary's
Mazinde juu ya Tanga ,
Ahsanteee dear,hao St.Mary's Mazinde niliwatamani na fomu nlitaka nichukue Ila Sasa nimeshindwa kitu kimoja ,kishika shule Yaani mfano dogo akifauli interview natakiwa nitoe pesa ya kushika jina almost 1m,Hapo bado hujatoa bahasha kidogo ili achaguliwe nimechoka balaaaa!nimechemka natafuta ambayo Haina makando kando ya kushika jina,wala kupita mgongo wa nyuma!maana uchum wenyewe wa mapambano huu!
Ndo hvyo tu mtoto asome hakuna namnaa!
Anwarite ngoja nifatilie kipenzi
 
Niko chuga kiroho madam
Yaani mimi ni charii ya R kindakindaki ila kimwili niko Usukumani Simiyu moja na sasa niko Dom nakata mitaa
Kaahh!weye uko Dom hapa hapa!hata kutafuta twende mnadani nkale nyama etii!

Hufaiii
 
Ahsanteee dear,hao St.Mary's Mazinde niliwatamani na fomu nlitaka nichukue Ila Sasa nimeshindwa kitu kimoja ,kishika shule Yaani mfano dogo akifauli interview natakiwa nitoe pesa ya kushika jina almost 1m,Hapo bado hujatoa bahasha kidogo ili achaguliwe nimechoka balaaaa!nimechemka natafuta ambayo Haina makando kando ya kushika jina,wala kupita mgongo wa nyuma!maana uchum wenyewe wa mapambano huu!
Ndo hvyo tu mtoto asome hakuna namnaa!
Anwarite ngoja nifatilie kipenzi
oh pole sana
shule hizi wanaaangalia pesa tu

okay kuna hii precious blood ipo Arusha , na Visistation girls ipo Siha huko Moshi
 
aisee ndo shida
siku hizi shule nyingi ada zipo juu

nilikuwa namtafutia mtoto shule grade one aisee kila nikipiga nambiwa ada ni 3M sasa huko form one pakoje ?
afu secondary kidogo ziko chin haswaaa za masista hizi,2.7m,2.8m to 3m,nyingi ziko hapoo!!!
Primary ada ni kubwa maana malezi nayo ni yanahitaji umakini sana
 
Katika ibada ya mazishi ya marehemu Malkia Elizabeth, kuelekea mwisho wa ibada, niliguswa na maneno ya mwisho ya Askofu Mkuu kabla ya mwili kupelekwa kaburini kwa maziko. Alisema: "Sasa tuondoe alama zote za nguvu kutoka kwenye jeneza, ili dada yetu, Elizabeth aweze kuwekwa kaburini kama Mkristo wa kawaida ".
Mara moja, wafanyakazi wa ofisi waliondolewa, kisha fimbo, taji ikafuata na vitu vyote vya thamani viliondolewa. Malkia alizikwa HAKUNA KITU. Ona kwamba Askofu Mkuu hakujumuisha "Malkia" kwa jina lake wakati huu pia.
Hakika maisha ni ubatili. Ni ya muda mfupi, na hiyo inatufundisha unyenyekevu. Unyenyekevu katika uwezo, unyenyekevu katika uhusiano na wengine, unyenyekevu katika upatikanaji wetu wa mali, na unyenyekevu katika juhudi zetu zote, kwa sababu mwishowe, sote tutarudi mavumbini bila KITU. Wacha Izame!
 
Ahsanteee dear,hao St.Mary's Mazinde niliwatamani na fomu nlitaka nichukue Ila Sasa nimeshindwa kitu kimoja ,kishika shule Yaani mfano dogo akifauli interview natakiwa nitoe pesa ya kushika jina almost 1m,Hapo bado hujatoa bahasha kidogo ili achaguliwe nimechoka balaaaa!nimechemka natafuta ambayo Haina makando kando ya kushika jina,wala kupita mgongo wa nyuma!maana uchum wenyewe wa mapambano huu!
Ndo hvyo tu mtoto asome hakuna namnaa!
Anwarite ngoja nifatilie kipenzi
nilifanyaga interview mazinde sikupita kumbe ndo wana makando kando hivi dah .

hadi ulipie kishika jina dah
kweli private ni biashara
 
Back
Top Bottom