Hahaaaà a!sio kua ulikosa umefeli ,hapana,ni kua haukupita mgongo wa nyuma dear,ndo Wana hzo mambo!ndo nimeà mbiwa na miye ,rafikii yangu yeye kupata tu katoa 1m,then kishika jina 1m,Hapo bado ada n.k na Marian nadhan nao unatoa laki 5 ya jina pia..nimeshindwa Mimi,maana ada yenyewe papatu,papatunilifanyaga interview mazinde sikupita kumbe ndo wana makando kando hivi dah .
hadi ulipie kishika jina dah
kweli private ni biashara




aende boarding apate elimu nzuri atimize ndoto zake ambazo miye nilishindwa.Tena acha kumzoea kabisa Sasa hivi nduguDah!
Hii hali inanishangaza sana,
Nina rafk yangu mmoja(ke) kabla ya kuolewa tulikuwa tunabonga fresh tu ila baada ya kuolewa nashangaa kila nikimtext anareply kwa emoji tu...
Huenda ndio mkakati aliochagua wa kulinda ndoa...![]()
Ni vizuri especially kwa afya ya mahusiano yake! Too much mazoea siooo salama kabisaaa!!Dah!
Hii hali inanishangaza sana,
Nina rafk yangu mmoja(ke) kabla ya kuolewa tulikuwa tunabonga fresh tu ila baada ya kuolewa nashangaa kila nikimtext anareply kwa emoji tu...
Huenda ndio mkakati aliochagua wa kulinda ndoa... ðŸ¤
Does not justify the fact that Lazima muendelee nahuo urafiki kama ivokua Zamani!! Ashaingia kwenye kifungo kinachomlimit sometimes!! So anaenda kwa step!Tumetoka mbali sana naye Mkuu
We wametoka mbali nyuki na asali na wanaachana seuse nyieTumetoka mbali sana naye Mkuu


!!mke wa mtu sumuuMuandikie kwa mambo muhimu.Dah!
Hii hali inanishangaza sana,
Nina rafk yangu mmoja(ke) kabla ya kuolewa tulikuwa tunabonga fresh tu ila baada ya kuolewa nashangaa kila nikimtext anareply kwa emoji tu...
Huenda ndio mkakati aliochagua wa kulinda ndoa... ðŸ¤
Sahihi kabisaaa .Tena huyo dada anajiheshimu sanaaDoes not justify the fact that Lazima muendelee nahuo urafiki kama ivokua Zamani!! Ashaingia kwenye kifungo kinachomlimit sometimes!! So anaenda kwa step!
Exactly!!Kukujibu kwa emoji ni kuonyesha jambo si serious sana.
Mazoea naye yaache, mbaki kuwa watu wa kuheshimiana. Ukiwa na jambo serious, muandikie ujumbe wa kueleweka.
Siyo mazoea ya kuandikiana sms kila kukicha. Si afya sana kwa mahusiano haswa ya kwenye ndoa.
Bado haijalishi... na If so .. sit down and talk then mchane makavu muyaweke sawa ila sio hio drama unaotaka kuifanya!! !Ni mwanangu sana kitambo sana..
Anachofanya ni kuacha mbachao kwa msala upitao..
Najua atanitafuta tu atakapokuwa na uhitaji kama ambavyo..
I will surely turn my back on her.. Vinginevyo ni jaribio la yeye kudhibiti namna ganj tuhusiane of which kwangu haikubaliki..
In fact, unaweza kuwa na umuhimu lakini si kama alionao mumewe.Ni mwanangu sana kitambo sana..
Anachofanya ni kuacha mbachao kwa msala upitao..
Najua atanitafuta tu atakapokuwa na uhitaji kama ambavyo..
I will surely turn my back on her.. Vinginevyo ni jaribio la yeye kudhibiti namna ganj tuhusiane of which kwangu haikubaliki..
Ingekuwa rahisi zaidi kwangu kufanya maombi.Angekuwa karibu
Inge happen
Ama namna gani![]()
Uchumba si ndoa bwana mdogoKanipotezea almost 3 times, namtext anajibu na emoj..
Sawa Mkuu ila anachofanya Mkuu, ni kunifanya nijihisi muhuni na muharibifu wa ndoa za watu hali ya kuwa mimi ni mtu na heshima zangu..
Sijaharibu uchumba wake itakuwa ndoa..
Sasa she is someone's wife now,u need to respect he duude!!Ni mwanangu sana kitambo sana..
Anachofanya ni kuacha mbachao kwa msala upitao..
Najua atanitafuta tu atakapokuwa na uhitaji kama ambavyo..
I will surely turn my back on her.. Vinginevyo ni jaribio la yeye kudhibiti namna ganj tuhusiane of which kwangu haikubaliki..
Keki kama keki🥳🥳🥳🥳🥳ooh kweli dear
PoaMarhabaaa mambooo
Muosha huoshwaDah!
Hii hali inanishangaza sana,
Nina rafk yangu mmoja(ke) kabla ya kuolewa tulikuwa tunabonga fresh tu ila baada ya kuolewa nashangaa kila nikimtext anareply kwa emoji tu...
Huenda ndio mkakati aliochagua wa kulinda ndoa... ðŸ¤
Mwee Bina mara ya mwisho nilikuja kanisani ibada ya mkesha,ila tuliondoka alfajiri hiyohiyo baada ya ibada kuisha.Ukija dom unanipitaa TU![]()