Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaaaàa!sio kua ulikosa umefeli ,hapana,ni kua haukupita mgongo wa nyuma dear,ndo Wana hzo mambo!ndo nimeàmbiwa na miye ,rafikii yangu yeye kupata tu katoa 1m,then kishika jina 1m,Hapo bado ada n.k na Marian nadhan nao unatoa laki 5 ya jina pia..nimeshindwa Mimi,maana ada yenyewe papatu,papatuaende boarding apate elimu nzuri atimize ndoto zake ambazo miye nilishindwa.
sikujua asee , Mungu ni mwaminifu atawaongozata mtapata shule nzuri .
 
Back
Top Bottom