National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,199
Ebu nifanyie mjomba selfi moja matata 😟😟 nataka kulalaUmeanza wanga lini mr vocha lakini??🤔🤔 Namtafuta sis angu Lovelovie umemnionea huko ???
Ebu nifanyie mjomba selfi moja matata 😟😟 nataka kulalaUmeanza wanga lini mr vocha lakini??🤔🤔 Namtafuta sis angu Lovelovie umemnionea huko ???
Mimi huyo eeh😊Yeah...anazichukia Kila muda anazisemanivile tu alikuta nanyoa...angekutana na misuko ningeambiwa nyoa
![]()
Ila nakuombea huyo uliyenaye mungu awafikishe kwenye safari yenu 🙏Ayaaaa!! oky let's go...muda utaongea
mambo hayo , Mungu akubarikiAkika ata Mimi hyo kaka enu atanibadilisha sana..
Na niko tyriii wallah![]()
Wala sio msabato maybe tu afagilii..pia sioni tabu coz nampenda nitamsikilizaau ni msabato huyo maaana haelewi haya mambo

Ameen.Ila nakuombea huyo uliyenaye mungu awafikishe kwenye safari yenu![]()

Ameen Mamymambo hayo , Mungu akubariki
ndoa itiki

oyo 💃Wala sio msabato maybe tu afagilii..pia sioni tabu coz nampenda nitamsikiliza![]()
oyo
im happy for you sis , ufanikiwe
tumeumbiwa kutii sie (2 Peter 3:1)




Nimecheka mbavu cna hapaaa, woiiiiihnakua mkavu kama dagaa
Nisha kata jmni ata sielewi nako pelekwaanajikuta naiona ndoa ileee kumbe wengee
View attachment 2366758





plz naomba niwe MC, usiniache ktk jambo lako. Ndoa ya kuacha Kila kitu kbla ya kuolewa hii uwa azielewekii kbsaa mkuu...unaweza kuacha Kila kitu alafu ghafla ndoa ikakuponyoka ukabaki unalia tu...
Inshallah na iwe ivo![]()





uliza wenzio, walifanyiwa vitu had wakawa wanachachawaaaa, mambo yakufanyika ulayaa yalifanyika Bongo tena wazi wazi, na bado waliachanaaa, tabia mbaya hii ila lazima tuwaonyeshe watu kama wametukosea .