Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eti unaiona ndoa ilee kama inakuja halafu inapotea.....[emoji16][emoji16][emoji16]

Mwaka huu na usipite bana.

Ng'wīnga o Ntuzu...
[emoji23][emoji23] Ndoa ya kuacha Kila kitu kbla ya kuolewa hii uwa azielewekii kbsaa mkuu...unaweza kuacha Kila kitu alafu ghafla ndoa ikakuponyoka ukabaki unalia tu...

Inshallah na iwe ivo [emoji2969]
 
Kama ni maisha ya kishua sawa. Lakini maisha yetu ya kawaida haya sidhani. Kuna kuosha vyombo. Kuna kumega matonge ya ugali. Kuna kufua nguo. Kuna......Na makucha marefu hizi shughuli zitafanyika kweli?
yani sijui wanawezaje maana kutwa shughuli .
hapo kufua wanaita mtu afue nguo , kupika tuseme yupo busy hadi ajisikie
binafsi nina vikucha vifupi hapo sihaingaiki navyo sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] eti tunafanana ...nimecheka aki

Nisindikize ka vocha hapa na wewe uni cc basi
Weeee.......
Braza amezama penzini unataka kunigombanisha na braza wewe mcc yeye tu inatosha
 
Kama ni maisha ya kishua sawa. Lakini maisha yetu ya kawaida haya sidhani. Kuna kuosha vyombo. Kuna kumega matonge ya ugali. Kuna kufua nguo. Kuna......Na makucha marefu hizi shughuli zitafanyika kweli?
Mimi nafanya kila kitu mkuu [emoji16][emoji16]...ila kufua lazima uumie maybe ufue nguo simple simple ila sio jeans [emoji158][emoji23][emoji23]

Sio kishua sema uwa napenda tu coz naona kama ni urembo hasa kwa mtu anaye penda urembo
 
Back
Top Bottom