Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Mlivyo tulia kama mpo busy na mahusiano vile
Duh picha ya kwanza imenifikirisha, najiuliza hivi vitumbua hapa juu vinakaangwaje halafu vikubwa sana! Picha ya pili ndio nimegundua ni lori lina picha ya vitumbua.
Hapo ndo wanataka kufanya nini mkuu
Duh picha ya kwanza imenifikirisha, najiuliza hivi vitumbua hapa juu vinakaangwaje halafu vikubwa sana! Picha ya pili ndio nimegundua ni lori lina picha ya vitumbua.


Yani kama Mimi aiseee


wewe mwenyewe ulifichwa 😅Mlivyo tulia kama mpo busy na mahusiano vile
Mkuu umekunywa chai 🤣🤣🤣Duh picha ya kwanza imenifikirisha, najiuliza hivi vitumbua hapa juu vinakaangwaje halafu vikubwa sana! Picha ya pili ndio nimegundua ni lori lina picha ya vitumbua.
Nani anifichewewe mwenyewe ulifichwa![]()
Duh leo nime-skip! Inaweza kuwa sababu kabisa.Mkuu umekunywa chai 🤣🤣🤣
Ila vitumbua bhna hta upite mbali ukivisikia harufu tu karoho lazima kadunde 🤣Duh leo nime-skip! Inaweza kuwa sababu kabisa.
Nipo mdogo wangu nipoooii!! Pita nitawasimulia sis!! Nilikua huko MMU Natanua mbavuuu madam!! Haya pita asubuhi yangu iishe vizuri
Au tusubiri mida yetu mwambie aunt coca aniandalie kapicha kazuriNipo mdogo wangu nipoooii!! Pita nitawasimulia sis!! Nilikua huko MMU Natanua mbavuuu madam!! Haya pita asubuhi yangu iishe vizuri
ex wakoNani anifiche
🤠🤠 Umeona msosi tuuDuh picha ya kwanza imenifikirisha, najiuliza hivi vitumbua hapa juu vinakaangwaje halafu vikubwa sana! Picha ya pili ndio nimegundua ni lori lina picha ya vitumbua.
Leo sijanywa chai, napiga pasi ndefu🤠🤠 Umeona msosi tuu
X wangu kafarikiex wako