Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpwa
Shimba ya Buyenze nduguzako wakarimu sana nimeletewa dengu mapema Cha ajabu sijui Zinapikwaje 🤣🤣🤣 nimeona aibu kuuliza
Antonnia uje unifundisheView attachment 2364452
Kuna Bagia.. pia Kachori!

Pia unaweza kutumia dengu nzima pia kama mboga unaunga kama ufanyavyo maharage lakini uhakikishe moto hauwi mkali sana maana hazikawii kuiva!!

Lakini pia wengie huutumia katika kung'arisha na kulainisha ngozi! Madam
 

Attachments

  • Screenshot_20220922-112348~2.jpg
    Screenshot_20220922-112348~2.jpg
    18.3 KB · Views: 3
Kuna Bagia.. pia Kachori!

Pia unaweza kutumia dengu nzima pia kama mboga unaunga kama ufanyavyo maharage lakini uhakikishe moto hauwi mkali sana maana hazikawii kuiva!!

Lakini pia wengie huutumia katika kung'arisha na kulainisha ngozi! Madam
Natka bagia kupika naweza lkn natumiaga unga ule special kumbe hiz naweza saga tu nikapata unga?
 
Back
Top Bottom