Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Life is too short.Dahh aisee hakika Dunian tunapita tupendane
Tuishi Kwa Upendo.
Life is too short.Dahh aisee hakika Dunian tunapita tupendane
Sawa tuishi kwa upendo mm nakupendaLife is too short.
Tuishi Kwa Upendo.
DepalWakuu kwenye huu uzi nani yupo mkoa wa kilimanjaro anaweza kunisadia namba za wakala wa beer ambae bei yake ipo chini kidogo?
Mtakatifu wacha uchocheziSijui hata alikuchukuliaje
Wakati sisi wa juzi tumefika na kuona jina la Eli Tena pale juu yupo Shwaziniga
Jirani wacha umbeaMnachat kuhusu nini?
Mbona kama mnagombania jinsia![]()

Yan mie nauza bia au 😂
Tumepigwaaaa🏃🏃🏃🏃Ilo hapo limejaa View attachment 2361770
Mawakala woote wa bia ukanda wakaskazini unawaahamuYan mie nauza bia au 😂
Yan nimekuwa kazuri hadi umenisahau au? 😂😂Tumepigwaaaa🏃🏃🏃🏃
Shindwaaa shetaniMawakala woote wa bia ukanda wakaskazini unawaahamu
Ngoja didi yake aje athibitisheYan nimekuwa kazuri hadi umenisahau au? 😂😂
Didi akeee komwe on point😍😍Ilo hapo limejaa View attachment 2361770
Mzeiya vip tena hiii umetia boko 😄raraa reree Lizzy Post M-alone 🤠🤠🤠 haraka haraka unakuja toa boko.. Inabidi kwenda mgahawani.. Baada ya kupaisha penatiView attachment 2361642View attachment 2361643
shs ngapiTwende tour mwezi wa 12 jichange mapema kbs
Nilikuwa busy na ndege, kuja kushtuka moshi kitu kimeitika 🤠🤠🤠🤠Mzeiya vip tena hiii umetia boko 😄
Usingizi ulikupitia nn maan mabachelor ndio maboko yetu hayo unaweka kitu jikoni unarudi kuchek kideo ndio ntolee hio mpaka usikie harufu ya moshi 😄